SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
President J.Malinzi nina maswali mawili.
1. Kwakuwa viwanja vingi vinamilikiwa na CCM na wakati huo wakivijenga ulikuwa ni mfumo wa chama kimoja. Je, kwanini TFF isiishauri Serikali kumiliki viwanja hivyo ili ibaki mali ya watanzania wote na ukizingatia sasa ni mfumo wa vyama vingi kitu ambacho kitasaidia viwanja kutunzwa vizuri na kuboreshwa zaidi?
2. Kama namba 1 hapo juu ni vigumu na najua kwamba mwenyekiti wa CCM (JK) ni mpenda michezo, kwanini sasa usiutumie muda huu akiwa madarakini ukamshauri kwa uzuri kabisa chama chake kitenge bajeti ya kukarabati viwanja vyake ikiwa ni pamoja na kubadili pitch ziwe za nyasi bandia?
1. Kwakuwa viwanja vingi vinamilikiwa na CCM na wakati huo wakivijenga ulikuwa ni mfumo wa chama kimoja. Je, kwanini TFF isiishauri Serikali kumiliki viwanja hivyo ili ibaki mali ya watanzania wote na ukizingatia sasa ni mfumo wa vyama vingi kitu ambacho kitasaidia viwanja kutunzwa vizuri na kuboreshwa zaidi?
2. Kama namba 1 hapo juu ni vigumu na najua kwamba mwenyekiti wa CCM (JK) ni mpenda michezo, kwanini sasa usiutumie muda huu akiwa madarakini ukamshauri kwa uzuri kabisa chama chake kitenge bajeti ya kukarabati viwanja vyake ikiwa ni pamoja na kubadili pitch ziwe za nyasi bandia?
