Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
- Thread starter
- #201
Mh Jamal Malinzi ninaswari, ikiwa team akabainika Kuwa imesajiri mchezaji wa nje kama local player (bila ITC) na ikawa imemchezesha mechi kama kumi adhabu yake ni nini?
Hilo litakuwa ni kosa la wote,Federation kwa kumuidhinisha acheze bila ITC,klabu husika kuleta jina la mchezaji asiye na ITC na mchezaji mwenyewe kutofuatilia usajili wake kama uko sawa.Ndio maana wiki iliyopita FA ya uingereza haikuwanyang'anya pointi Sunderland bada ya kumchezesha mechi nne mchezaji wa Korea bila ITC.Basicaly suala la ITC liko more adminstrative kuliko technical.Ukiwa na kadi nyekundu ukacheza mechi ifuatayo na ikajulikana timu yako itanyang'anywa ushindi,thats technical.
Last edited by a moderator: