Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
- Thread starter
- #421
Jamal Malinzi ni member JF.Njoo utueleze kwa nini hukusimamia maamuzi yako ya awali.Pia kwa nini ulihamisha ofisi za TFF Karume hadi katikati ya jiji? Umefanya maamuzi mengi yasiyo na maana,lakini kwa gharama kubwa.
bato nitazungumzia la kuhama Karume,mengine yako mahakamani kuyazungumzia hapa sio mahali pake.
Karume tunajenga maduka kuzunguka uwanja,ukumbi na hoteli ya ghorofa 7.Tutafanya uwekezaji huu bila kuingia ubia wala kukopa.Mapema July michoro itakamilika na tutaomba kibali cha ujenzi,tukijaaliwa ujenzi utaanza August.
Last edited by a moderator: