Maswali ni mengi Watanzania tunajiuliza kuhusu CHADEMA

Maswali ni mengi Watanzania tunajiuliza kuhusu CHADEMA

Joined
Sep 10, 2024
Posts
22
Reaction score
15
1.hiki chama hakina wazee wakutuliza
hizi vurugu?
2.kuna kundi litasusa.je,hili kundi litaanzisha chama kipya au litasujudia vyama vingine ili wapokelewe?
3.Baada ya uchaguzi,kundi lililoshindwa kama hawatahama chama, kuna kuaminiana tena?...
 
Back
Top Bottom