Maswali ya interview NAOT na HESLB

Maswali ya interview NAOT na HESLB

Waliowahi kufanya hizi interview za NAOT wanapaswa kutupa muongozo.

Kwenye Archieves za PSRS inaonekana mwaka 2020, interview ya NAOT iliwahi kufanyika, hao wadau inabidi watie neno hapa ili tujue pa kuanzia.

Hata hivyo ngoja nianze na Job descriptions, nijichimbe job description moja baada ya nyingine naweza kuokota dodo ndani ya ukumbi wa CBLS siku ya Mkando
Nawew upo CBLS? Tupo pamoja kaka.
 
Uchumi grade 2 jua Macroeconomics and Microeconomics,Anza na zile za Ambilikile 1&2 ,pia soma research utakuwa umemaliza, especially hakikisha kozi zako za first Year semester ya kwanza za economics yaani 116 & 117 umezijua
Ningeona hata sample ya maswali angalau mkuu ya mchumi II

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nimepitia Job descriptions za Kada nyingi za NAOT, nimeona zinafanana kama inavyoonekana kwenye hii picha.

Watu ICT ndio zinatofautiana na hizi za halaiki.

Kutokana na uzoefu wangu wa kukandwa, napenda kutoa muongozo kama ifuatavyo:

1. Tujiandae kulingana na fani zetu mfano, Mchumi deal na mambo ya kiuchumi uliyojifunza chuo, hivyo hivyo afisa kilimo, Daktari, Afisa ununuzi n.k

Reference ya huu muongozo:
-:Written yangu ya kwanza ilihusu mambo ya fani tuliyojifunza chuo na mafunzo kwa vitendo ingawa Job descriptions zilikuwa specific kuhusu mambo mengine, Written yangu ya pili ikawa kama ya mwanzo.

2. Tusome pia mambo ya kiukaguzi tukiongozwa na majukumu yaliyoanishwa kwenye tangazo, waliowahi kufika oral ni mashahidi maana walishawahi kuulizwa wayataje majukumu ya kazi wanayoomba kama wanayafahamu.

Kwa hiyo mimi binafsi nitaishi kwenye hii miongozo niliyoitoa hapa, nikikandwa napo ni sehemu ya hustle kama ilivyo kawaida, nikiwakanda napo ni ushindi mkubwa kwa mkandwaji sugu
IMG_20221015_131502.jpg
 
Nimepitia Job descriptions za Kada nyingi za NAOT, nimeona zinafanana kama inavyoonekana kwenye hii picha.

Watu ICT ndio zinatofautiana na hizi za halaiki.

Kutokana na uzoefu wangu wa kukandwa, napenda kutoa muongozo kama ifuatavyo:

1. Tujiandae kulingana na fani zetu mfano, Mchumi deal na mambo ya kiuchumi uliyojifunza chuo, hivyo hivyo afisa kilimo, Daktari, Afisa ununuzi n.k

Reference ya huu muongozo:
-:Written yangu ya kwanza ilihusu mambo ya fani tuliyojifunza chuo na mafunzo kwa vitendo ingawa Job descriptions zilikuwa specific kuhusu mambo mengine, Written yangu ya pili ikawa kama ya mwanzo.

2. Tusome pia mambo ya kiukaguzi tukiongozwa na majukumu yaliyoanishwa kwenye tangazo, waliowahi kufika oral ni mashahidi maana walishawahi kuulizwa wayataje majukumu ya kazi wanayoomba kama wanayafahamu.

Kwa hiyo mimi binafsi nitaishi kwenye hii miongozo niliyoitoa hapa, nikikandwa napo ni sehemu ya hustle kama ilivyo kawaida, nikiwakanda napo ni ushindi mkubwa kwa mkandwaji suguView attachment 2387812
Asante Sana kwa muongozo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nimepitia Job descriptions za Kada nyingi za NAOT, nimeona zinafanana kama inavyoonekana kwenye hii picha.

Watu ICT ndio zinatofautiana na hizi za halaiki.

Kutokana na uzoefu wangu wa kukandwa, napenda kutoa muongozo kama ifuatavyo:

1. Tujiandae kulingana na fani zetu mfano, Mchumi deal na mambo ya kiuchumi uliyojifunza chuo, hivyo hivyo afisa kilimo, Daktari, Afisa ununuzi n.k

Reference ya huu muongozo:
-:Written yangu ya kwanza ilihusu mambo ya fani tuliyojifunza chuo na mafunzo kwa vitendo ingawa Job descriptions zilikuwa specific kuhusu mambo mengine, Written yangu ya pili ikawa kama ya mwanzo.

2. Tusome pia mambo ya kiukaguzi tukiongozwa na majukumu yaliyoanishwa kwenye tangazo, waliowahi kufika oral ni mashahidi maana walishawahi kuulizwa wayataje majukumu ya kazi wanayoomba kama wanayafahamu.

Kwa hiyo mimi binafsi nitaishi kwenye hii miongozo niliyoitoa hapa, nikikandwa napo ni sehemu ya hustle kama ilivyo kawaida, nikiwakanda napo ni ushindi mkubwa kwa mkandwaji suguView attachment 2387812
Usahili ni kwa kiswahili ?
 
Niliwahi kuuliza hivi hapa, nilijibiwa itakuwa kwa kiingereza
Mkuu naomba niulize kitu hapa.

Mimi niliomba takwimu muajiri ni MDAs & LGAs, lada ni mtakwimu daraja la II.

Naona wameita ita watu kwenye interview ila status yangu ajira portal bado inasoma "received" mpaka saaaizi au wanaita kwa mafungu kulingana na kada zao ??
 
Mkuu naomba niulize kitu hapa.

Mimi niliomba takwimu muajiri ni MDAs & LGAs, lada ni mtakwimu daraja la II.

Naona wameita ita watu kwenye interview ila status yangu ajira portal bado inasoma "received" mpaka saaaizi au wanaita kwa mafungu kulingana na kada zao ??
Inasemekana wameita wachache kwanza, ninyi vuteni subira mtaitwa pia wakati mwingine
 
Mkuu naomba niulize kitu hapa.

Mimi niliomba takwimu muajiri ni MDAs & LGAs, lada ni mtakwimu daraja la II.

Naona wameita ita watu kwenye interview ila status yangu ajira portal bado inasoma "received" mpaka saaaizi au wanaita kwa mafungu kulingana na kada zao ??
Jina lako lipo kwenye mkeka?
 
Back
Top Bottom