Maswali ya interview NAOT na HESLB

Maswali ya interview NAOT na HESLB

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningekuwa auditor notes kama zote yani unameza zote halafu unawasubiri utumishi wajilete
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara paap umepigwa counter attack na madude yako kichwani ukaishia kusema ajali kazini kama Mandonga
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara paap umepigwa counter attack na madude yako kichwani ukaishia kusema ajali kazini kama Mandonga
😂😂😂😂Hiyo counter attack nilipigwa pura nikaona nimeudhalilisha jina la ukoo bure Bora ile nauli ningekula pisi za Riverside tu au chako ni chako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo counter attack nilipigwa pura nikaona nimeudhalilisha jina la ukoo bure Bora ile nauli ningekula pisi za Riverside tu au chako ni chako
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
mwenye tangazo la kazi la HESLB naomba atume nisome roles za Loan officer walizoweka
 
mwenye tangazo la kazi la HESLB naomba atume nisome roles za Loan officer walizoweka
Hizi
Screenshot_20221017-132352.jpg
 
Kumbe mtihani wa Auditing ulikuwa rahisi vile, vijana mnaferi wapi aiisee
 
Utumishi wajitahidi kutoa paper ngumu ngumu kidogo ,,madogo wanafurahia Sana paper wanasema lilikuwa simple sana
 
Utumishi wajitahidi kutoa paper ngumu ngumu kidogo ,,madogo wanafurahia Sana paper wanasema lilikuwa simple sana
Hakunaga paper rahisi au nyepesi that's why ikaitwa paper cha muhimu nikuomba Mungu abless kadri ya majibu na maswali yalivyokuwa ili ipatikane njia ya oral.
 
Utumishi wajitahidi kutoa paper ngumu ngumu kidogo ,,madogo wanafurahia Sana paper wanasema lilikuwa simple sana
Matokeo yatashangaza...
Hakuna kujipa moyo namna hiyo
 
Back
Top Bottom