Sauti ya amani
Member
- Jul 19, 2022
- 64
- 89
Hii English ulisomea memkwa mkuu au?Unaulizwa hivi " which distance is allowed between you and a female and attractive student" is it 0 distance or and distance?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii English ulisomea memkwa mkuu au?Unaulizwa hivi " which distance is allowed between you and a female and attractive student" is it 0 distance or and distance?
Which memkwa , you is saying about. No memkwa hereHii English ulisomea memkwa mkuu au?
Unda basi mwambammoja ajitokeze tuunde group atupie link
😂😂😂😂Muwe mnapitia katiba na ilani ya ccm, kuna maswali yatatoka huko
Unadhani Kwanini pdf la waliokuwa shortlisted, limeondolewa kwenye pages za PSRS ?Nasikia ajira portal mambo tayari huko naona waalimu wengi wamekuwa Shortlisted, Haya tupeane mchongo kuhusiana na maswali ya Interview kwa kada hiyo ya ualimu.
Tusaidiane ili tupate kazi wote kwa pamoja kwa manufaa ya kunisaidia taifa letu kufikia malengo makubwa kwa kuzalisha wataalamu mbalimbali watakaochagiza uchumi wa taifa letu.