Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,468
- 5,060
Duara, nusu duara, mstatiri, mraba na vipenyo vyake usisau na pai kufanyiaUnatufundisha Maumbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duara, nusu duara, mstatiri, mraba na vipenyo vyake usisau na pai kufanyiaUnatufundisha Maumbo
Unalimisha mashamba, hau elimishiUzi wako unatufundisha nn? 😁
hehehehehHahahahahhaha
Haha hah hahaMtu anauliza " vipi mbona kimya?" Unamjibu " kwa sababu siongei"
nimecheka sanaHahahahahhahaU
Nimeshinda kwa hawara"Kaka umeshindaje" unamjibu "moja bila"
Swali lako ni lipi hapa.Una husikaje ktk kuifikisha tz kuwa nchi ya uchumi wa kati na ya viwanda?
anakukuta unacheza game anakwambia ,naona unacheza game unamjibu hapana naangalia movies 🧠Habari Wakuu!!
Lengo La Uzi Huu Ni kutupia Maswali Ya Kijinga Na Mmoja ana Jibu Kipumbavu Mfano.
Mtu Anakukuta Unakula Anakuuliza Ebana Naona Upo Unakula ... unamjibu Hapana Naosha Vyombooo
Jamaa Anampigia Simu Mtu Saa7 Usiku Anamuuliza Umelala Nini Jibu Anamwambia hapana Niko Niko naimba..
Tupia na Ww Majibu Uliyowahi Kutoa,kusikia au Kuuliza Ukajibiwa Fyongo ...
Uzi Tayariii!!!
KwenuUko wapi siku hizi??
Za kisukumaZa kirumi ama za kiarabu!
Umeacha umbea?Niambie