kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Maswali ya Muungano ambayo vijana wetu wa sasa wanakosa majibu yanayowatosheleza kutoka kwa wazazi wao ni haya:
1. Kwanini Tanganyika haipo lakini Zanzibar ipo?
2. Kwanini kuna Rais wa Tanzania na Rais wa Zanzibar lakini hakuna Rais wa Tanganyika?
3. Kwanini Zanzibar wana ligi yao na hawamo kwenye ligi Tanzania?
4. Kwani Zanzibar wana bendera na wimbo wao wa taifa?
5. Kwanini kuna vitambulisho vya wazanzibar?
Haya ni baadhi ya mambo ya wazi ambayo vijana wa leo ni rahisi sana kuyaona kwa macho yao ya nyama.
Hakuna mtu anaewapa majibu sahihi ya maswali haya, labda ndio maana elimu ya muungano haifundishwi kwa vijana wetu mashuleni kwakuwa hakuna majibu ya wazi wa majibu haya.
Inawezekana Zanzibar iko kwenye muungano kwasababu ambazo hata vijana wa Zanzibar hawazijui kwa uwazi.
Inaonekana kuwa sababu kuu ya muungano ni usalama tu na sio kitu kingine. Tuliungana kwa kumuogapa Sultani, Mreno na Makaburu baaasi labda ndiyo maana muungano huu umedumu mpaka leo. Jeshi ndilo linaloulinda muungano wetu.
1. Kwanini Tanganyika haipo lakini Zanzibar ipo?
2. Kwanini kuna Rais wa Tanzania na Rais wa Zanzibar lakini hakuna Rais wa Tanganyika?
3. Kwanini Zanzibar wana ligi yao na hawamo kwenye ligi Tanzania?
4. Kwani Zanzibar wana bendera na wimbo wao wa taifa?
5. Kwanini kuna vitambulisho vya wazanzibar?
Haya ni baadhi ya mambo ya wazi ambayo vijana wa leo ni rahisi sana kuyaona kwa macho yao ya nyama.
Hakuna mtu anaewapa majibu sahihi ya maswali haya, labda ndio maana elimu ya muungano haifundishwi kwa vijana wetu mashuleni kwakuwa hakuna majibu ya wazi wa majibu haya.
Inawezekana Zanzibar iko kwenye muungano kwasababu ambazo hata vijana wa Zanzibar hawazijui kwa uwazi.
Inaonekana kuwa sababu kuu ya muungano ni usalama tu na sio kitu kingine. Tuliungana kwa kumuogapa Sultani, Mreno na Makaburu baaasi labda ndiyo maana muungano huu umedumu mpaka leo. Jeshi ndilo linaloulinda muungano wetu.