Maswali ya usaili wa Tutorial Assistant, Gender and Development

Maswali ya usaili wa Tutorial Assistant, Gender and Development

Kkwakweli Dalili kubwa kuwa elimu itolewayo na vyuo vyetu ni DUNI ni waajiri ikiwemo serikali yenyewe kutowaamini waombaji wa kazi: ila pia waajiri kutojiamini hata wakiajiliwa...kuna siku nilienda halmashauri fulani kwa ajili ya consultancy assignment fulani ya kudevelop funding scheme ya mradi wa maji ya visima vijijini..maafisa ambao walikuwa assigned nifanye nao kazi ni mchumi, mtakwimu na watendaji kata..nilichogundua wakawa na inferiority kwenye zoezi hasa nilipokuwa nawashirikisha kwenye aspects kadhaa..yani walionekana kutojiamini as if wanakuwa assessed! Ila kweli vyuo havituandai kuwa competent, nadhani wanafunzi wenyewe wanapaswa wajue wanaposoma wahakilishe wanalenga kwenye uelewa wenye kusaidia kufanya uhalisia watapokuwa ktk ajira au kujiajiri
Tena huko halmashauri ndio wana uwezo duni sana. Tatizo wana chuo wengi wanasomea mitihani sio uelewa wakuja kuapply kwenye kazi na maisha kwa ujumla. Ndio maana wengi hawajiamini ilihali wana ufaulu wa juu kabisa.
 
sure,
ni swali la kitoto sana kwa mwerevu mwenye majivuno, anaejiskia hivi na kujidai sana dah....

na actualy,
jibu lako pia ni miafaka sana kwa kumkatisha tamaa kijana asie jua chochote kuhusu asichokijua :pulpTRAVOLTA:
Ulitaka afanye sugar coating. Interview za sasa zina hitaji critical thinking na maswali ni ya trick hayapo straight forward ki hivyo
 
Tena huko halmashauri ndio wana uwezo duni sana. Tatizo wana chuo wengi wanasomea mitihani sio uelewa wakuja kuapply kwenye kazi na maisha kwa ujumla. Ndio maana wengi hawajiamini ilihali wana ufaulu wa juu kabisa.
Kabisa..binafsi niliwashangaa kimtindo nikawa mm kama mentor wao hadi mwisho, hawakuwa na msaada kabisa , wakati elimu zetu zilifanana tu
 
Kabisa..tena ingependeza kila aliyepewa cheti bila kujali GPA awamu ya kwanza ya mchujo nao waombe tu , ukute kuna mwenye GPA ya chini angewaburuza GPA za juu kwenye muktadha wa usaili.
Hili nakubaliana na wewe kabisa yani wapo wenye GPA za chini na ni competent kweli kweli ingekuwa ni mimi GPA ninge angalia dakika za mwisho kwenye kuchagua mmoja kati ya wawili wenye sifa sawa katika interview.
 
Ulitaka afanye sugar coating. Interview za sasa zina hitaji critical thinking na maswali ni ya trick hayapo straight forward ki hivyo
Huu ni ukweli, kama kuna chuo kitauliza swali kama hilo la huyo jamaa basi elimu yetu Ina zaidi ya. Shida
 
Ulitaka afanye sugar coating. Interview za sasa zina hitaji critical thinking na maswali ni ya trick hayapo straight forward ki hivyo
hakuna haja kutisha vijana,
trick za kutoka wapi? unaulizwa utakachoenda kukifanya ikiwa unaufahamu nacho kiasi gani....

na hizo trick labda kiasi tu tena ni kwenye baadhi kwenye private sector na international institutions....

kwingineko ni rahisi, ni kujipanga kidogo tu na kujiamini :pulpTRAVOLTA:
 
Hufai kuwa TA, field yako tunaamini unaijua vizuri na ndio maana unataka kuwa TA na huko baadae kuwa lecturer, hii kuuliza maswali inaonyesha ww sio mtabe

Si ajabu sasa hivi graduates ni wachovu sana
Umenikumbusha msamiati ""MTABE""

Huyu msomi anatuletea ubabaifu yaan anashindwa kua na confidence ya alicho somea..
 
Ni ombwe kubwa. Una tegemea matokeo chanya kwa watu wenye uwezo hafifu kama hao? Pole sana mkuu.
Hio ndio changamoto kwa waajiri na waajiriwa. Nikaenda tena pengine, baadhi ya maafisa wakishaona consultant amekuja na kwakuwa lazima ushirikiane nao kulingana na fani zao basi wanakuwa "waoga waoga" yani full kutojiamini..unawambia relax, let's share what we know about this....na terms zinataka wao waanze kisha external adviser aone gap la knowledge kwa pamoja watengeneze kitu sahihi zaidi..nikajua wanafanya makusudi kuona kwanini pengine wasingepewa wenyewe hio kazi!! Ila hapana nikajiridhisha some of them are not competent! Wakishapewa job description wanaishia penye nukta.
 
Umenikumbusha msamiati ""MTABE""

Huyu msomi anatuletea ubabaifu yaan anashindwa kua na confidence ya alicho somea..
Watabe ndio waliokua wanabakia vyuoni, baadae wanapanda hadi senior lecturers
Siku hizi ni janga kubwa, kuna siku nilikutana na mtu yeye ni TA yupo TEKU-mbeya
Aisee nilisema tumekwisha, ni mweupe hasa, lugha sasa ndio gongana
Nilijiuliza huyu imekuwaje kawa TA
 
Hio ndio changamoto kwa waajiri na waajiriwa. Nikaenda tena pengine, baadhi ya maafisa wakishaona consultant amekuja na kwakuwa lazima ushirikiane nao kulingana na fani zao basi wanakuwa "waoga waoga" yani full kutojiamini..unawambia relax, let's share what we know about this....na terms zinataka wao waanze kisha external adviser aone gap la knowledge kwa pamoja watengeneze kitu sahihi zaidi..nikajua wanafanya makusudi kuona kwanini pengine wasingepewa wenyewe hio kazi!! Ila hapana nikajiridhisha some of them are not competent! Wakoshapewa job description wanaishia penye nukta.
Huwa wanakosa ujasiri kabisa. Watakuambia wewe endelea tupo pamoja. 😀
 
Watabe ndio waliokua wanabakia vyuoni, baadae wanapanda hadi senior lecturers
Siku hizi ni janga kubwa, kuna siku nilikutana na mtu yeye ni TA yupo TEKU-mbeya
Aisee nilisema tumekwisha, ni mweupe hasa, lugha sasa ndio gongana
Nilijiuliza huyu imekuwaje kawa TA
Ni hatari kweli kweli vimemo navyo vina husika. Mtoto au ndugu wa Askofu wakati kwenye Interview amepitwa mbali sana na wenzake
 
hakuna haja kutisha vijana,
trick za kutoka wapi? unaulizwa utakachoenda kukifanya ikiwa unaufahamu nacho kiasi gani....

na hizo trick labda kiasi tu tena ni kwenye baadhi kwenye private sector na international institutions....

kwingineko ni rahisi, ni kujipanga kidogo tu na kujiamini :pulpTRAVOLTA:
Offcoarse mimi nimezoea Interview za International Organisation kwenye fikra tunduizi huko kwingine kwenye mambo ya kanyaga twende sikuelewi.
 
Habari zenu wakuu!

Naomba kujua baadhi ya Maswali ambayo yanaulizwa kwenye Interview (Oral na Written) kwa nafasi ya Tutorial Assistant.
Salama binafsi nishawahi kuhudhulia T.A interview kama nne za kada tofauti na yako ila maswali ni ya darasan kwenye aplitude.

Mfano
1.What is the link between gender and development
2. Differentiate between
1.gender mainstreaming and gender stereotyping
2. Justify gender as socially concept
3. Justify Tanzania economic situation by using World economic system theory

Mfano tu sijawahi kushiriki za kada hiyo muhimu soma kada yako kwa kina
 
Back
Top Bottom