Maswali ya usaili wa Tutorial Assistant, Gender and Development

Maswali ya usaili wa Tutorial Assistant, Gender and Development

Jamaa kakutana na ndoige aisee wabongo kwa kuponda mko vizuri kana kwamba nyie mmesomea ulaya kumbe hata mtoa mada ana afadhali
 
Hata wanaouliza maswali kwenye interview mda mwingine unakuta nao hawako competent kwa hyo jamaa hajakosea kuuliza unaweza kushare tricky questions kama umewah kuhudhuria sidhani kama jamaa mweupe kiasi hicho mnachodhani nyinyi wajua kila kitu

Imagine mtu amekaa mtaani miaka 7 akiwa hafanyi kile alichosomea sidhan kama mtu huyu anaweza kutumia akili ile ya chuo bila kujiandaa tusidanganyane na kujikweza humu kwenye platform kuna mambo mengi kwenye kuomba kazi
 
Hata wanaouliza maswali kwenye interview mda mwingine unakuta nao hawako competent kwa hyo jamaa hajakosea kuuliza unaweza kushare tricky questions kama umewah kuhudhuria sidhani kama jamaa mweupe kiasi hicho mnachodhani nyinyi wajua kila kitu

Imagine mtu amekaa mtaani miaka 7 akiwa hafanyi kile alichosomea sidhan kama mtu huyu anaweza kutumia akili ile ya chuo bila kujiandaa tusidanganyane na kujikweza humu kwenye platform kuna mambo mengi kwenye kuomba kazi
Ni jealous tu mkuu, mtu akipata hataki na mwenzie apate au akipitia msoto na wengine wapite humo humo lakini kuuliza miongozo sio kosa hata uwe professor
 
Back
Top Bottom