Maswali ya Watanzania kujiluza kabla ya kupigia makelele wageni wanaokuja kuajiriwa nyadhifa kubwa nchini mwenu

Maswali ya Watanzania kujiluza kabla ya kupigia makelele wageni wanaokuja kuajiriwa nyadhifa kubwa nchini mwenu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Watanzania wengi hukerwa sana pale wanaskia mgeni amepewa wadhifa ndani ya nchi yao, lakini wengi hawataki kukabiliana na ukweli au kujiuliza maswali ya msingi.

Nakumbuka jitihada za kupata kibali cha kazi na cha makazi (work and residential permits) Tanzania, kwanza kabla upate cha makazi inabidi ufuate cha kazi ambacho kinatolewa na wizara ya kazi na ajira. Wale jamaa wanahoji balaa, hawatoi tu kibali moja kwa moja, wanatathmini umuhimu wako, na kwanini hiyo nafasi isipewe Mtanzania, imekuaje au iweje wewe mgeni upewe hiyo nafasi.

Kampuni ya Kitanzania inayokualika inabidi kutolea maelezo na kushawishi sana, na kuweka viambatanisho vingi tu ili kuwaridhisha jamaa kwamba kuna umuhimu mkubwa kwanini wewe upewe kibali. Na hayataishia hapo tu, wanatuma maafisa wao kwenda kwenye kampuni husika kufanya uchunguzi wa kina, kuna nini huko cha maana ambacho kampuni inakifanya hadi aalikwe Mkenya au Mhindi na ambacho mamilioni ya Watanzania walio barabarani wakitafuta ajira hawakiwezi.

Baada ya hapo wanaandaa ripoti, ambayo pia inachukua muda sana kufanyiwa kazi. Wakimaliza na kuridhika kwamba wamekukubali, msala unahamishwa kwenda kwa uhamiaji, na wao pia wanaanza mchakato ambao pia umejaa maswali lukuki, pia na wao wanatembelea kampuni husika. Wanauliza kila aina ya maswali na kutathimini umuhimu wako kwenye nchi hiyo. Yaani ni shughuli ndefu, ambayo inaweza ikakwama kwenye hatua yoyote na ombi lako likapigwa chini.

Kumbuka yote hayo utalipia ada, tena hela ndefu. Yakikamilika yote, sasa kampuni inaanza shughuli za kukulipia nauli ya ndege, kukulipia makazi na kugharamia utakacho kula na kunywa na kuishi, na pia mshahara wako.

Sasa swali la msingi, kwanini kampuni inayomilikiwa na Watanzania iingie gharama zote hizi kumfuata Mhindi, Mkenya, Mchina au raia wa Afrika Kusini na kuwaacha mamilioni ya Watanzania na vyeti vyao wakizunguka na kutafuta ajira. Mnafaa kujiuliza hili swali kwenye kila jukwaa, kwenye kila aina ya mahojiano, na kubaini nini cha kuboresha kwenye nguvu kazi zenu na raslimali watu.

Na pia makampuni yanayomilikiwa na wageni kama vile Vodacom, kwanini wasiangalie ndani ya nchi kwanza ilibidi wafuate nchi jirani, maana kwa kweli lazima wawe makini kwa sababu mkurungezi wanayemleta lazima awahakikishie kwamba
- Kampuni itaendelea kuongeza faida kwenye P&L
- Ataanzisha mikakati na kuisimamia
- Atawajibika kwenye bodi ya wakurungezi
- Atasimamia na kuhakikisha utenda kazi wa waajiriwa zaidi ya 500
- Ataendesha vikao vya washika dau na kuwaridhisha kwenye kila hatua na pia vikao vya mwaka (AGM)
- Atahakikisha sheria za nchi zinazngatiwa na kukwepa mahakama ama uingiliwaji na serikali
- Uimara wa kampuni kwenye soko la hisa
- Bidhaa kama mpesa zitaendelea kuimarika kwenye mazingira yenye ushindani mkubwa
- Kuwezesha kampuni kutanua na kusambaa kote kote huku wakiwa makini kwa kila hatua
- Kuwathibiti matapeli kila siku na pia dhidi ya wahujumu hata walio ndani ya kampuni

Yaani orodha ya majukumu ni ndefu ambayo sio kila mtu atatamani kuvaa hivyo viatu.

Hivyo, nawasilisha tu kama kitu mnachofaa kukijadili kwa kina bila kulea machungu, wivu na chuki
 
In theory, but practically, hao watoa vibali unfortunately ni very corrupt, you can order that permit via the phone, just bribe them and it will be brought to you on a plate, without having to answer anything to anyone.
 
In theory, but practically, hao watoa vibali unfortunately ni very corrupt, you can order that permit via the phone, just bribe them and it will be brought to you on a plate, without having to answer anything to anyone.

Bado swali liko pale pale, hata kama inabidi wahonge, kwanini makampuni hayo yaingie hizo gharama za kuhonga ili mgeni aletwe, kwanini wasimwajiri Mtanzania ambaye yupo hapo Dar, hawatakua na haja ya kuwaza ataishi wapi, usafiri wake na mengineo, maana yupo kwao nyumbani.
Kwanini wafuate mbali, aidha wafuate Kenya au India na Uchina na kuwacha mamilioni ya Watanzania hapo nyumbani.....
 
Watanzania wengi hukerwa sana pale wanaskia mgeni amepewa wadhifa ndani ya nchi yao, lakini wengi hawataki kukabiliana na ukweli au kujiuliza maswali ya msingi.

Nakumbuka jitihada za kupata kibali cha kazi na cha makazi (work and residential permits) Tanzania, kwanza kabla upate cha makazi inabidi ufuate cha kazi ambacho kinatolewa na wizara ya kazi na ajira. Wale jamaa wanahoji balaa, hawatoi tu kibali moja kwa moja, wanatathmini umuhimu wako, na kwanini hiyo nafasi isipewe Mtanzania, imekuaje au iweje wewe mgeni upewe hiyo nafasi.

Kampuni ya Kitanzania inayokualika inabidi kutolea maelezo na kushawishi sana, na kuweka viambatanisho vingi tu ili kuwaridhisha jamaa kwamba kuna umuhimu mkubwa kwanini wewe upewe kibali. Na hayataishia hapo tu, wanatuma maafisa wao kwenda kwenye kampuni husika kufanya uchunguzi wa kina, kuna nini huko cha maana ambacho kampuni inakifanya hadi aalikwe Mkenya au Mhindi na ambacho mamilioni ya Watanzania walio barabarani wakitafuta ajira hawakiwezi.

Baada ya hapo wanaandaa ripoti, ambayo pia inachukua muda sana kufanyiwa kazi. Wakimaliza na kuridhika kwamba wamekukubali, msala unahamishwa kwenda kwa uhamiaji, na wao pia wanaanza mchakato ambao pia umejaa maswali lukuki, pia na wao wanatembelea kampuni husika. Wanauliza kila aina ya maswali na kutathimini umuhimu wako kwenye nchi hiyo. Yaani ni shughuli ndefu, ambayo inaweza ikakwama kwenye hatua yoyote na ombi lako likapigwa chini.

Kumbuka yote hayo utalipia ada, tena hela ndefu. Yakikamilika yote, sasa kampuni inaanza shughuli za kukulipia nauli ya ndege, kukulipia makazi na kugharamia utakacho kula na kunywa na kuishi, na pia mshahara wako.

Sasa swali la msingi, kwanini kampuni inayomilikiwa na Watanzania iingie gharama zote hizi kumfuata Mhindi, Mkenya, Mchina au raia wa Afrika Kusini na kuwaacha mamilioni ya Watanzania na vyeti vyao wakizunguka na kutafuta ajira. Mnafaa kujiuliza hili swali kwenye kila jukwaa, kwenye kila aina ya mahojiano, na kubaini nini cha kuboresha kwenye nguvu kazi zenu na raslimali watu.

Na pia makampuni yanayomilikiwa na wageni kama vile Vodacom, kwanini wasiangalie ndani ya nchi kwanza ilibidi wafuate nchi jirani, maana kwa kweli lazima wawe makini kwa sababu mkurungezi wanayemleta lazima awahakikishie kwamba
- Kampuni itaendelea kuongeza faida kwenye P&L
- Ataanzisha mikakati na kuisimamia
- Atawajibika kwenye bodi ya wakurungezi
- Atasimamia na kuhakikisha utenda kazi wa waajiriwa zaidi ya 500
- Ataendesha vikao vya washika dau na kuwaridhisha kwenye kila hatua na pia vikao vya mwaka (AGM)
- Atahakikisha sheria za nchi zinazngatiwa na kukwepa mahakama ama uingiliwaji na serikali
- Uimara wa kampuni kwenye soko la hisa
- Bidhaa kama mpesa zitaendelea kuimarika kwenye mazingira yenye ushindani mkubwa
- Kuwezesha kampuni kutanua na kusambaa kote kote huku wakiwa makini kwa kila hatua
- Kuwathibiti matapeli kila siku na pia dhidi ya wahujumu hata walio ndani ya kampuni

Yaani orodha ya majukumu ni ndefu ambayo sio kila mtu atatamani kuvaa hivyo viatu.

Hivyo, nawasilisha tu kama kitu mnachofaa kukijadili kwa kina bila kulea machungu, wivu na chuki
Ujinga tupu. Tanzania is a sovereing state and can decide who should run their Companies.There are many Profitable Tanzanian Companies run by tanzanians, profitability is not dependent on whether the companies are run by foreigners or not. Infact, foreigners who have been given chance to run Tanzanian companies have failed and made losses.
Every country has its own system of relationships with businesses. Go to china and see if there is any Director who is a non chinese..Even the Western companies with investments in china like apple inc have chinese managers
 
Bado swali liko pale pale, hata kama inabidi wahonge, kwanini makampuni hayo yaingie hizo gharama za kuhonga ili mgeni aletwe, kwanini wasimwajiri Mtanzania ambaye yupo hapo Dar, hawatakua na haja ya kuwaza ataishi wapi, usafiri wake na mengineo, maana yupo kwao nyumbani.
Kwanini wafuate mbali, aidha wafuate Kenya au India na Uchina na kuwacha mamilioni ya Watanzania hapo nyumbani.....
Tell me this, why did the slave traders go through so much trouble to capture and tranport slaves to america? Why not just capture and sell the locals? My friend, i've seen how Chinese and Indian foreign workers are being treated in mines in Dodoma and Bagamoyo, they are being treated like slaves! But its very hard to do that to a local employee, they know where the labour offices are and will promptly report you if you mistreat them, but for the foreigners they just take the abuse, with nowhere to go or run to, heck they even can't speak the swahili or english language, they are practically enslaved! They go unpaid for years, being promised pay when they get back home, most die here, and nobody cares. They don't even have proper work permirts or residence permits; the 'uhamiaji' just take bribes regularly on a monthly basis, very cheap bribes! Same case is in Qatar.THAT'S WHY!

Kwa kampuni uliyoitolea mfano hiyo ya Vodacom, itakuwa ni rahisi sana wao kufanya vitendo visivyo vya kizalendo kama ukwepaji kodi na uvujishaji /utoroshaji mapato kwenda nje ya nchi wakiwa na raia wa kigeni ambaye hana attacments na connections hapa Tanzania, ili lolote likitokea anakimbia kurudi nchini kwao ambako ndio familia na maisha yake yalipo, rejea yule Bashir Awale wa benki ya standard chartered, hivi angekua mTanzania angeweza kukimbia so easily aache familia na maisha yake hapa Tanzania? Hell no!!! It was very easy to do the fraudulent activities and runaway precisely because he had no attachments to Tz. F*ck off man, leave us alone!
 
Bado swali liko pale pale, hata kama inabidi wahonge, kwanini makampuni hayo yaingie hizo gharama za kuhonga ili mgeni aletwe, kwanini wasimwajiri Mtanzania ambaye yupo hapo Dar, hawatakua na haja ya kuwaza ataishi wapi, usafiri wake na mengineo, maana yupo kwao nyumbani.
Kwanini wafuate mbali, aidha wafuate Kenya au India na Uchina na kuwacha mamilioni ya Watanzania hapo nyumbani.....
You are Trying to justify your Racism aganist Tanzanians by asking such useless Questions. If a company cannot find local skilled labour which is a fallacy given that Tz has had succeful managers in many sectors, its their responsibility to train and employ locals otherwise they should shipout and go. I have given you the example of china, any business investing there must employ chinese managers even if the business is in such complex areas like semiconductor tech or software. And even further, the chinese demand technology transfer agreements in areas they are not competent,and if a company refuses to sign technology transfer agreements, they are told to shipout and go! ASK WHY GOOGLE IS NOT IN CHINA, despite china being a very large potential market for google. And btw, china is doing well with no ebay,google,amazon etc.
 
You are Trying to justify your Racism aganist Tanzanians by asking such useless Questions. If a company cannot find local skilled labour which is a fallacy given that Tz has had succeful managers in many sectors, its their responsibility to train and employ locals otherwise they should shipout and go. I have given you the example of china, any business investing there must employ chinese managers even if the business is in such complex areas like semiconductor tech or software. And even further, the chinese demand technology transfer agreements in areas they are not competent,and if a company refuses to sign technology transfer agreements, they are told to shipout and go! ASK WHY GOOGLE IS NOT IN CHINA, despite china being a very large potential market for google. And btw, china is doing well with no ebay,google,amazon etc.
I am supprised at how much satisfaction and pleasure this idiot derives from undermining and inferiorising the Tanzanian population as a whole. Huu ndio uchawi wenyewe huu.
 
I am supprised at how much satisfaction and pleasure this idiot derives from undermining and inferiorising the Tanzanian population as a whole. Huu ndio uchawi wenyewe huu.
He is a Racisit and a tribalist who thinks in his small biased mind that some class of people are "better" or smarter than others. Unfortunately he urinates his ignorance on social media, luckily since I joined JF and deconstructed his Nonesense no one takes him seriously anymore, he is Just a Joker
 
Bado swali liko pale pale, hata kama inabidi wahonge, kwanini makampuni hayo yaingie hizo gharama za kuhonga ili mgeni aletwe, kwanini wasimwajiri Mtanzania ambaye yupo hapo Dar, hawatakua na haja ya kuwaza ataishi wapi, usafiri wake na mengineo, maana yupo kwao nyumbani.
Kwanini wafuate mbali, aidha wafuate Kenya au India na Uchina na kuwacha mamilioni ya Watanzania hapo nyumbani.....
Kwani watanzania wangapi wameajiriwa Kenya, wahindi, Chinese nasikia wanafagia sgr zenu.
Kwanini hayo makampuni yenu yaingie gharama kuleta foreigners wakati kuna nguvu kazi hapo kwenyu pumbavu
 
I have been in Europe for couple of years. Their employment and recruitment policy is quite pure and simple. In EU if a member state wants to recruit a professional, first the country looks within its boader, then in EU, lastly non EU countries. Their policy does not allow movement of labor which is existing in a needy country. So for Tanzania, the kinda of expertise which people discuss is abundant.
 
I have been in Europe for couple of years. Their employment and recruitment policy is quite pure and simple. In EU if a member state wants to recruit a professional, first the country looks within its boader, then in EU, lastly non EU countries. Their policy does not allow movement of labor which is existing in a needy country. So for Tanzania, the kinda of expertise which people discuss is abundant.

Now there lies the issue, that most of your companies will go into lots of trouble to seek for foreigners first while your observation of EU trend is vice-versa.
 
Kwani watanzania wangapi wameajiriwa Kenya, wahindi, Chinese nasikia wanafagia sgr zenu.
Kwanini hayo makampuni yenu yaingie gharama kuleta foreigners wakati kuna nguvu kazi hapo kwenyu pumbavu
Pumbavu haoni kwamba mchina anadharau kenya hadi kazi ya kufagia SGR nikama hakuna mkenya aliye somea hiyo kazi. What a stupid man this is!
 
Tell me this, why did the slave traders go through so much trouble to capture and tranport slaves to america? Why not just capture and sell the locals? My friend, i've seen how Chinese and Indian foreign workers are being treated in mines in Dodoma and Bagamoyo, they are being treated like slaves! But its very hard to do that to a local employee, they know where the labour offices are and will promptly report you if you mistreat them, but for the foreigners they just take the abuse, with nowhere to go or run to, heck they even can't speak the swahili or english language, they are practically enslaved! They go unpaid for years, being promised pay when they get back home, most die here, and nobody cares. They don't even have proper work permirts or residence permits; the 'uhamiaji' just take bribes regularly on a monthly basis, very cheap bribes! Same case is in Qatar.THAT'S WHY!

Kwa kampuni uliyoitolea mfano hiyo ya Vodacom, itakuwa ni rahisi sana wao kufanya vitendo visivyo vya kizalendo kama ukwepaji kodi na uvujishaji /utoroshaji mapato kwenda nje ya nchi wakiwa na raia wa kigeni ambaye hana attacments na connections hapa Tanzania, ili lolote likitokea anakimbia kurudi nchini kwao ambako ndio familia na maisha yake yalipo, rejea yule Bashir Awale wa benki ya standard chartered, hivi angekua mTanzania angeweza kukimbia so easily aache familia na maisha yake hapa Tanzania? Hell no!!! It was very easy to do the fraudulent activities and runaway precisely because he had no attachments to Tz. F*ck off man, leave us alone!

You make sense, but my argument is based mostly on legit companies owned by Tanzanians that follows all the necessary procedures, processes and laws of the land, why would they go into so much amount of trouble and expenses hiring foreigners some from as far as India while some are sourced in the neighboring countries like Uganda and Kenya.

By the way, even there was a time your own president showed intention of seeking professionals from Rwanda to help him at TRA, most Tanzanians opened threads to attack and disparage him but did not address the pertinent and basic question. Look at the example of one of such threads.

-----------------------------------------------------------

Kuwatumia watalaam toka Rwanda ni kudharau watalaam wa Tanzania

Mhe Rais jana amesema mambo mawili kuhusiana na uhitaji wake wa msaada toka Rwanda.

Jambo la kwanza aliomba Kagame amsaidie watalaam watakao msaidia kununua ndege Q400 kwa ajili ya Air Tanzania.

Jambo la pili ameomba Kagame amsaidie watalaam watakao tengeneza system ya kutrack mapato ya TRA on realtime ili kudhibiti upotevu wa mapato ya serikali

Maswali ya kujiuliza

1. Je ni kweli Tanzania hakuna watalaam wa kumsaidia kazi hiyo?

2. Je ni kweli Tanzania hakuna vijana watalaam wa IT wenye uwezo wa kufanyia kazi hizo requirements za Rais.

Kwangu mimi naona mheshimiwa amepitiliza ktk kulifanyia kazi swala hili. Na uhakika Tanzania ina watalaam wazuri sana ila serikali haijaamua kuwatumia.

Mfano kuna DG wa pale Costech kitengo kinachojihusisha na ICT kwa vijana anaitwa Mulamula. Huyu jamaa aliwahi kuchukuliwa na Kagame na ndiye inawezekana aliyeset na kushape mambo yote ya ICT Rwanda, lakini baada ya kurudi Tanzania hajapewa nafasi kama alivyo pewa na Kagame.

Ninacho jua kuwa watanzania wengi sana wanaotumiwa na serikali ya Rwanda kimya kimya na yamkini hao watakaokuja kumsaidia Magufuli wakawa ni wabongo.

Serikali ikubali kuwa tatizo la watalaam kutumia elimu zao linatokana na upendeleo ambao umekua ukifanyika kwa makusudi . Vijana wenye ujuzi wapo na wanao uwezo wa kufanya mambo makubwa kwa ajili ya taifa lao ili serikali kwa makusudi imewafungia nje.

Zamani usalama wa taifa walikua kazi yao ni kutafuta vijana talented na kuwashawishi kwa ajili ya kuchukua nafasi nyeti za serikali. Lakini leo ukiwa na kadi ya CCM hata kama hujasoma IT utashangaa unachukua kitengo cha IT.

Magufuli naomba ufikirie upya juu ya hili pia serikali iwe makini kuruhusu mgeni tena jirani aingilie mfumo wako wa IT ni hatari, vijana wapo jaribuni kuwatumia.

6175a9d487ef43cc8d1679d557e5543c.jpg
 
You make sense, but my argument is based mostly on legit companies owned by Tanzanians that follows all the necessary procedures, processes and laws of the land, why would they go into so much amount of trouble and expenses hiring foreigners some from as far as India while some are sourced in the neighboring countries like Uganda and Kenya.

By the way, even there was a time your own president showed intention of seeking professionals from Rwanda to help him at TRA, most Tanzanians opened threads to attack and disparage him but did not address the pertinent and basic question. Look at the example of one of such threads.

-----------------------------------------------------------

Kuwatumia watalaam toka Rwanda ni kudharau watalaam wa Tanzania

Mhe Rais jana amesema mambo mawili kuhusiana na uhitaji wake wa msaada toka Rwanda.

Jambo la kwanza aliomba Kagame amsaidie watalaam watakao msaidia kununua ndege Q400 kwa ajili ya Air Tanzania.

Jambo la pili ameomba Kagame amsaidie watalaam watakao tengeneza system ya kutrack mapato ya TRA on realtime ili kudhibiti upotevu wa mapato ya serikali

Maswali ya kujiuliza

1. Je ni kweli Tanzania hakuna watalaam wa kumsaidia kazi hiyo?

2. Je ni kweli Tanzania hakuna vijana watalaam wa IT wenye uwezo wa kufanyia kazi hizo requirements za Rais.

Kwangu mimi naona mheshimiwa amepitiliza ktk kulifanyia kazi swala hili. Na uhakika Tanzania ina watalaam wazuri sana ila serikali haijaamua kuwatumia.

Mfano kuna DG wa pale Costech kitengo kinachojihusisha na ICT kwa vijana anaitwa Mulamula. Huyu jamaa aliwahi kuchukuliwa na Kagame na ndiye inawezekana aliyeset na kushape mambo yote ya ICT Rwanda, lakini baada ya kurudi Tanzania hajapewa nafasi kama alivyo pewa na Kagame.

Ninacho jua kuwa watanzania wengi sana wanaotumiwa na serikali ya Rwanda kimya kimya na yamkini hao watakaokuja kumsaidia Magufuli wakawa ni wabongo.

Serikali ikubali kuwa tatizo la watalaam kutumia elimu zao linatokana na upendeleo ambao umekua ukifanyika kwa makusudi . Vijana wenye ujuzi wapo na wanao uwezo wa kufanya mambo makubwa kwa ajili ya taifa lao ili serikali kwa makusudi imewafungia nje.

Zamani usalama wa taifa walikua kazi yao ni kutafuta vijana talented na kuwashawishi kwa ajili ya kuchukua nafasi nyeti za serikali. Lakini leo ukiwa na kadi ya CCM hata kama hujasoma IT utashangaa unachukua kitengo cha IT.

Magufuli naomba ufikirie upya juu ya hili pia serikali iwe makini kuruhusu mgeni tena jirani aingilie mfumo wako wa IT ni hatari, vijana wapo jaribuni kuwatumia.

6175a9d487ef43cc8d1679d557e5543c.jpg
Before you try and castigate Tz, Can you explain why Uhuru Kenyatta is Going for state visits to Cuba to Import 100 Cuban doctors? When 1000 kenyan doctors are unemployed?
Before you pluck out the spec in your brothers eye, first take out the Log in your own eye
Cuban doctors start training to come to Kenya amidst wrangles
 
You make sense, but my argument is based mostly on legit companies owned by Tanzanians that follows all the necessary procedures, processes and laws of the land, why would they go into so much amount of trouble and expenses hiring foreigners some from as far as India while some are sourced in the neighboring countries like Uganda and Kenya.

By the way, even there was a time your own president showed intention of seeking professionals from Rwanda to help him at TRA, most Tanzanians opened threads to attack and disparage him but did not address the pertinent and basic question. Look at the example of one of such threads.

-----------------------------------------------------------

Kuwatumia watalaam toka Rwanda ni kudharau watalaam wa Tanzania

Mhe Rais jana amesema mambo mawili kuhusiana na uhitaji wake wa msaada toka Rwanda.

Jambo la kwanza aliomba Kagame amsaidie watalaam watakao msaidia kununua ndege Q400 kwa ajili ya Air Tanzania.

Jambo la pili ameomba Kagame amsaidie watalaam watakao tengeneza system ya kutrack mapato ya TRA on realtime ili kudhibiti upotevu wa mapato ya serikali

Maswali ya kujiuliza

1. Je ni kweli Tanzania hakuna watalaam wa kumsaidia kazi hiyo?

2. Je ni kweli Tanzania hakuna vijana watalaam wa IT wenye uwezo wa kufanyia kazi hizo requirements za Rais.

Kwangu mimi naona mheshimiwa amepitiliza ktk kulifanyia kazi swala hili. Na uhakika Tanzania ina watalaam wazuri sana ila serikali haijaamua kuwatumia.

Mfano kuna DG wa pale Costech kitengo kinachojihusisha na ICT kwa vijana anaitwa Mulamula. Huyu jamaa aliwahi kuchukuliwa na Kagame na ndiye inawezekana aliyeset na kushape mambo yote ya ICT Rwanda, lakini baada ya kurudi Tanzania hajapewa nafasi kama alivyo pewa na Kagame.

Ninacho jua kuwa watanzania wengi sana wanaotumiwa na serikali ya Rwanda kimya kimya na yamkini hao watakaokuja kumsaidia Magufuli wakawa ni wabongo.

Serikali ikubali kuwa tatizo la watalaam kutumia elimu zao linatokana na upendeleo ambao umekua ukifanyika kwa makusudi . Vijana wenye ujuzi wapo na wanao uwezo wa kufanya mambo makubwa kwa ajili ya taifa lao ili serikali kwa makusudi imewafungia nje.

Zamani usalama wa taifa walikua kazi yao ni kutafuta vijana talented na kuwashawishi kwa ajili ya kuchukua nafasi nyeti za serikali. Lakini leo ukiwa na kadi ya CCM hata kama hujasoma IT utashangaa unachukua kitengo cha IT.

Magufuli naomba ufikirie upya juu ya hili pia serikali iwe makini kuruhusu mgeni tena jirani aingilie mfumo wako wa IT ni hatari, vijana wapo jaribuni kuwatumia.

6175a9d487ef43cc8d1679d557e5543c.jpg
You are asking the same question, and my answer is the same. As if Bashir Awale was working in an illegitimate company...
 
Wewe mbona hujiulizi kwa nini kampuni za Kenya pia zinaajiri wageni? Tukianza na Safaricom na KQ. SGR yenu kumejaa Wachina watupu.

Halafu unatupia mzigo Watanzania kuwa hawataki wageni wakati hata nyie pia mnapiga makelele hayo hayo, acha unafiki na unaa. Hamna wananchi wa nchi yoyote wanapenda wageni wajazane kwao.

Illegal foreigners taking over our jobs, Kayole hawkers say

Kenya crackdown on foreign charity workers

Revealed: How expatriates mint millions working in Nairobi illegally - Nairobi News

Why are the Chinese taking over the whole of Kenya?


Wakenya mngekuwa na uwezo mnaotamba kuwa nao msingekuwa mafukara wa kutupa kama mlivyo.
 
Wewe mbona hujiulizi kwa nini kampuni za Kenya pia zinaajiri wageni? Tukianza na Safaricom na KQ. SGR yenu kumejaa Wachina watupu.

Halafu unatupia mzigo Watanzania kuwa hawataki wageni wakati hata nyie pia mnapiga makelele hayo hayo, acha unafiki na unaa. Hamna wananchi wa nchi yoyote wanapenda wageni wajazane kwao.

Illegal foreigners taking over our jobs, Kayole hawkers say

Kenya crackdown on foreign charity workers

Revealed: How expatriates mint millions working in Nairobi illegally - Nairobi News

Why are the Chinese taking over the whole of Kenya?


Wakenya mngekuwa na uwezo mnaotamba kuwa nao msingekuwa mafukara wa kutupa kama mlivyo.
Hana Hoja huyu mjinga, ngoja tu usikie aanze kutuambia Tanzania Ni LDC, alafu aingie JF na ile username ya Hamster255 aanze kupost utoto.
 
Watanzania wengi hukerwa sana pale wanaskia mgeni amepewa wadhifa ndani ya nchi yao, lakini wengi hawataki kukabiliana na ukweli au kujiuliza maswali ya msingi.

Nakumbuka jitihada za kupata kibali cha kazi na cha makazi (work and residential permits) Tanzania, kwanza kabla upate cha makazi inabidi ufuate cha kazi ambacho kinatolewa na wizara ya kazi na ajira. Wale jamaa wanahoji balaa, hawatoi tu kibali moja kwa moja, wanatathmini umuhimu wako, na kwanini hiyo nafasi isipewe Mtanzania, imekuaje au iweje wewe mgeni upewe hiyo nafasi.

Kampuni ya Kitanzania inayokualika inabidi kutolea maelezo na kushawishi sana, na kuweka viambatanisho vingi tu ili kuwaridhisha jamaa kwamba kuna umuhimu mkubwa kwanini wewe upewe kibali. Na hayataishia hapo tu, wanatuma maafisa wao kwenda kwenye kampuni husika kufanya uchunguzi wa kina, kuna nini huko cha maana ambacho kampuni inakifanya hadi aalikwe Mkenya au Mhindi na ambacho mamilioni ya Watanzania walio barabarani wakitafuta ajira hawakiwezi.

Baada ya hapo wanaandaa ripoti, ambayo pia inachukua muda sana kufanyiwa kazi. Wakimaliza na kuridhika kwamba wamekukubali, msala unahamishwa kwenda kwa uhamiaji, na wao pia wanaanza mchakato ambao pia umejaa maswali lukuki, pia na wao wanatembelea kampuni husika. Wanauliza kila aina ya maswali na kutathimini umuhimu wako kwenye nchi hiyo. Yaani ni shughuli ndefu, ambayo inaweza ikakwama kwenye hatua yoyote na ombi lako likapigwa chini.

Kumbuka yote hayo utalipia ada, tena hela ndefu. Yakikamilika yote, sasa kampuni inaanza shughuli za kukulipia nauli ya ndege, kukulipia makazi na kugharamia utakacho kula na kunywa na kuishi, na pia mshahara wako.

Sasa swali la msingi, kwanini kampuni inayomilikiwa na Watanzania iingie gharama zote hizi kumfuata Mhindi, Mkenya, Mchina au raia wa Afrika Kusini na kuwaacha mamilioni ya Watanzania na vyeti vyao wakizunguka na kutafuta ajira. Mnafaa kujiuliza hili swali kwenye kila jukwaa, kwenye kila aina ya mahojiano, na kubaini nini cha kuboresha kwenye nguvu kazi zenu na raslimali watu.

Na pia makampuni yanayomilikiwa na wageni kama vile Vodacom, kwanini wasiangalie ndani ya nchi kwanza ilibidi wafuate nchi jirani, maana kwa kweli lazima wawe makini kwa sababu mkurungezi wanayemleta lazima awahakikishie kwamba
- Kampuni itaendelea kuongeza faida kwenye P&L
- Ataanzisha mikakati na kuisimamia
- Atawajibika kwenye bodi ya wakurungezi
- Atasimamia na kuhakikisha utenda kazi wa waajiriwa zaidi ya 500
- Ataendesha vikao vya washika dau na kuwaridhisha kwenye kila hatua na pia vikao vya mwaka (AGM)
- Atahakikisha sheria za nchi zinazngatiwa na kukwepa mahakama ama uingiliwaji na serikali
- Uimara wa kampuni kwenye soko la hisa
- Bidhaa kama mpesa zitaendelea kuimarika kwenye mazingira yenye ushindani mkubwa
- Kuwezesha kampuni kutanua na kusambaa kote kote huku wakiwa makini kwa kila hatua
- Kuwathibiti matapeli kila siku na pia dhidi ya wahujumu hata walio ndani ya kampuni

Yaani orodha ya majukumu ni ndefu ambayo sio kila mtu atatamani kuvaa hivyo viatu.

Hivyo, nawasilisha tu kama kitu mnachofaa kukijadili kwa kina bila kulea machungu, wivu na chuki
Hakuna jipya,hivi vitu vinafanyika dunia nzima,akitoka SA,Kenya,Rwanda,haimaanishi Bongo hayupo aliye bora,
Kenya airways sasa HV si IPO chini ya mzungu,kutoka mbaaali kabisa,haimaanishi wakenya wote hawana sifa,ni matakwa ya wadau tu
 
Back
Top Bottom