Maswali ya Watanzania kujiluza kabla ya kupigia makelele wageni wanaokuja kuajiriwa nyadhifa kubwa nchini mwenu

Maswali ya Watanzania kujiluza kabla ya kupigia makelele wageni wanaokuja kuajiriwa nyadhifa kubwa nchini mwenu

Sheria na taratibu haswa zikifuatwa ipasavyo kwa mchakato uliyouelezea hapo wangebakia mabalozi wa nchi tu...

Lakini sivyo unavyofikiria... waajiri wengi hawapitii hayo yote... tayari washatengeza channel kote huko na mambo yao huenda haraka haraka...


Cc: mahondaw
 
Naona ulichukua ile Kazi ya kuwapeleka mbwa wakijisaidie kunya msituni.
I told you that you dont have monopoly for Stupidity Mbwa kama wewe 😀 😀
 

Attachments

  • 51_diarrhea-dogs.jpg
    51_diarrhea-dogs.jpg
    12.9 KB · Views: 28
This argument is pathetic. No reputable company will go out to search for a COO bila kufuata Sheria za nchi. Mbona wakuu wa serikari hawajasema huyu wa VODA hasije tz
 
Sheria na taratibu haswa zikifuatwa ipasavyo kwa mchakato uliyouelezea hapo wangebakia mabalozi wa nchi tu...

Lakini sivyo unavyofikiria... waajiri wengi hawapitii hayo yote... tayari washatengeza channel kote huko na mambo yao huenda haraka haraka...


Cc: mahondaw

Wapitie au la mwisho wa siku swali la msingi linabaki pale, kwamba wanahangaika kutafuta nguvu kazi nje ya nchi.
Hivyo kabla ya kutokwa povu, lazima watu wajiuluze maswali, kwa mfano Safaricom ya Kenya walimfuata Mkurengezi nje, itakua ujinga Wakenya tukipigia makelele uamuzi huo. Na ndio nanyi nawashangaa mnapokesha mkilialia kisa Mkenya ameletwa kwenu aongoze.
 
Wapitie au la mwisho wa siku swali la msingi linabaki pale, kwamba wanahangaika kutafuta nguvu kazi nje ya nchi.
Hivyo kabla ya kutokwa povu, lazima watu wajiuluze maswali, kwa mfano Safaricom ya Kenya walimfuata Mkurengezi nje, itakua ujinga Wakenya tukipigia makelele uamuzi huo. Na ndio nanyi nawashangaa mnapokesha mkilialia kisa Mkenya ameletwa kwenu aongoze.
Pambana na hali yako, Let Tanzania do what they know best, and its working they are growing at 7% and have the most inclusive economy in Africa
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom