Maswali ya Watanzania kujiluza kabla ya kupigia makelele wageni wanaokuja kuajiriwa nyadhifa kubwa nchini mwenu

Maswali ya Watanzania kujiluza kabla ya kupigia makelele wageni wanaokuja kuajiriwa nyadhifa kubwa nchini mwenu

Wewe mbona hujiulizi kwa nini kampuni za Kenya pia zinaajiri wageni? Tukianza na Safaricom na KQ. SGR yenu kumejaa Wachina watupu.

Halafu unatupia mzigo Watanzania kuwa hawataki wageni wakati hata nyie pia mnapiga makelele hayo hayo, acha unafiki na unaa. Hamna wananchi wa nchi yoyote wanapenda wageni wajazane kwao.

Illegal foreigners taking over our jobs, Kayole hawkers say

Kenya crackdown on foreign charity workers

Revealed: How expatriates mint millions working in Nairobi illegally - Nairobi News

Why are the Chinese taking over the whole of Kenya?


Wakenya mngekuwa na uwezo mnaotamba kuwa nao msingekuwa mafukara wa kutupa kama mlivyo.
Huyu jamaa yuko hivi siku zote. Tukianza kutoa mifano ya makampuni yaliyofilisika chini ya usimamizi wa Wakenya watapiga kelele. Nafanya research nitaweka wazi soon.
 
Wewe mbona hujiulizi kwa nini kampuni za Kenya pia zinaajiri wageni? Tukianza na Safaricom na KQ. SGR yenu kumejaa Wachina watupu.

Halafu unatupia mzigo Watanzania kuwa hawataki wageni wakati hata nyie pia mnapiga makelele hayo hayo, acha unafiki na unaa. Hamna wananchi wa nchi yoyote wanapenda wageni wajazane kwao.

Illegal foreigners taking over our jobs, Kayole hawkers say

Kenya crackdown on foreign charity workers

Revealed: How expatriates mint millions working in Nairobi illegally - Nairobi News

Why are the Chinese taking over the whole of Kenya?


Wakenya mngekuwa na uwezo mnaotamba kuwa nao msingekuwa mafukara wa kutupa kama mlivyo.

Unachanganya, inafaa ikuingie Mchina anayo haki maana kawekeza kwenye kutujengea muundo mbinu mkubwa ukanda huu, tena katumia teknolojia zake hivyo ana haki ya kuwajaza Wachina wake pale. Lakini mimi nazungumzia kampuni ya wazawa waishie kutafuta watenda kazi nje ya nchi na waingie gharama sana.

Kwa Mkenya anayelalamika kuhusu mkurungezi wa Safaricom kuwa mgeni kutoka nje ya nchi ni ujinga, na ndio hayo matatizo yanayowakumba nyie, kulalamika ovyo bila kujiuliza maswali ya msingi. Safaricom ambay mzazi wake Vodacom pamoja na kwamba serkali yetu ina hisa pale, hatuwezi na haturuhusiwi kuingilia wanavyojipanga kikazi na kimajukumu, hivyo wakimleta mkurungezi wa kutokea Marekani au Uingreza au watakapomtoa, ni haki yao kufanya hivyo kama wameangalia na kuona hakuna Mkenya anayekidhi vigezo wanavyovitaka, na cha msingi ni jukumu letu Wakenya kuhakikisha tunaboresha nguvu kazi zetu na sio kulalamika kama mazombi.
 
Unachanganya, inafaa ikuingie Mchina anayo haki maana kawekeza kwenye kutujengea muundo mbinu mkubwa ukanda huu, tena katumia teknolojia zake hivyo ana haki ya kuwajaza Wachina wake pale. Lakini mimi nazungumzia kampuni ya wazawa waishie kutafuta watenda kazi nje ya nchi na waingie gharama sana.

Kwa Mkenya anayelalamika kuhusu mkurungezi wa Safaricom kuwa mgeni kutoka nje ya nchi ni ujinga, na ndio hayo matatizo yanayowakumba nyie, kulalamika ovyo bila kujiuliza maswali ya msingi. Safaricom ambay mzazi wake Vodacom pamoja na kwamba serkali yetu ina hisa pale, hatuwezi na haturuhusiwi kuingilia wanavyojipanga kikazi na kimajukumu, hivyo wakimleta mkurungezi wa kutokea Marekani au Uingreza au watakapomtoa, ni haki yao kufanya hivyo kama wameangalia na kuona hakuna Mkenya anayekidhi vigezo wanavyovitaka, na cha msingi ni jukumu letu Wakenya kuhakikisha tunaboresha nguvu kazi zetu na sio kulalamika kama mazombi.
Wacha unafik, Kenya kuna malalamishi mengi sana kwa nyadhifa za uongozi wa mashirika ya umma na ambayo yako listed in NSE, tena haya malalamishi ni ya kikabila. There very many companies that could benefit from professional management but tribal mathematics and hiring using tribe as merit has led to mediocre performing companies
 
Ujinga tupu. Tanzania is a sovereing state and can decide who should run their Companies.There are many Profitable Tanzanian Companies run by tanzanians, profitability is not dependent on whether the companies are run by foreigners or not. Infact, foreigners who have been given chance to run Tanzanian companies have failed and made losses.
Every country has its own system of relationships with businesses. Go to china and see if there is any Director who is a non chinese..Even the Western companies with investments in china like apple inc have chinese managers
"Sovereing" ndio mnyama yupi?
 
Wewe mbona hujiulizi kwa nini kampuni za Kenya pia zinaajiri wageni? Tukianza na Safaricom na KQ. SGR yenu kumejaa Wachina watupu.

Halafu unatupia mzigo Watanzania kuwa hawataki wageni wakati hata nyie pia mnapiga makelele hayo hayo, acha unafiki na unaa. Hamna wananchi wa nchi yoyote wanapenda wageni wajazane kwao.

Illegal foreigners taking over our jobs, Kayole hawkers say

Kenya crackdown on foreign charity workers

Revealed: How expatriates mint millions working in Nairobi illegally - Nairobi News

Why are the Chinese taking over the whole of Kenya?


Wakenya mngekuwa na uwezo mnaotamba kuwa nao msingekuwa mafukara wa kutupa kama mlivyo.
Illegally is the key word kwa hizo vitu umepost. Sylivia Mulinge sio an illegal worker mbali amekubalishwa na kampuni ya kimataifa na serikali yaTanzania.
 
Illegally is the key word kwa hizo vitu umepost. Sylivia Mulinge sio an illegal worker mbali amekubalishwa na kampuni ya kimataifa na serikali yaTanzania.

Wakuu wa Safaricom, KQ, Airtel n.k ni Wakenya? Nyie si mnadai kuwa mna uwezo mkubwa.
 
Watanzania wengi hukerwa sana pale wanaskia mgeni amepewa wadhifa ndani ya nchi yao, lakini wengi hawataki kukabiliana na ukweli au kujiuliza maswali ya msingi.

Nakumbuka jitihada za kupata kibali cha kazi na cha makazi (work and residential permits) Tanzania, kwanza kabla upate cha makazi inabidi ufuate cha kazi ambacho kinatolewa na wizara ya kazi na ajira. Wale jamaa wanahoji balaa, hawatoi tu kibali moja kwa moja, wanatathmini umuhimu wako, na kwanini hiyo nafasi isipewe Mtanzania, imekuaje au iweje wewe mgeni upewe hiyo nafasi.

Kampuni ya Kitanzania inayokualika inabidi kutolea maelezo na kushawishi sana, na kuweka viambatanisho vingi tu ili kuwaridhisha jamaa kwamba kuna umuhimu mkubwa kwanini wewe upewe kibali. Na hayataishia hapo tu, wanatuma maafisa wao kwenda kwenye kampuni husika kufanya uchunguzi wa kina, kuna nini huko cha maana ambacho kampuni inakifanya hadi aalikwe Mkenya au Mhindi na ambacho mamilioni ya Watanzania walio barabarani wakitafuta ajira hawakiwezi.

Baada ya hapo wanaandaa ripoti, ambayo pia inachukua muda sana kufanyiwa kazi. Wakimaliza na kuridhika kwamba wamekukubali, msala unahamishwa kwenda kwa uhamiaji, na wao pia wanaanza mchakato ambao pia umejaa maswali lukuki, pia na wao wanatembelea kampuni husika. Wanauliza kila aina ya maswali na kutathimini umuhimu wako kwenye nchi hiyo. Yaani ni shughuli ndefu, ambayo inaweza ikakwama kwenye hatua yoyote na ombi lako likapigwa chini.

Kumbuka yote hayo utalipia ada, tena hela ndefu. Yakikamilika yote, sasa kampuni inaanza shughuli za kukulipia nauli ya ndege, kukulipia makazi na kugharamia utakacho kula na kunywa na kuishi, na pia mshahara wako.

Sasa swali la msingi, kwanini kampuni inayomilikiwa na Watanzania iingie gharama zote hizi kumfuata Mhindi, Mkenya, Mchina au raia wa Afrika Kusini na kuwaacha mamilioni ya Watanzania na vyeti vyao wakizunguka na kutafuta ajira. Mnafaa kujiuliza hili swali kwenye kila jukwaa, kwenye kila aina ya mahojiano, na kubaini nini cha kuboresha kwenye nguvu kazi zenu na raslimali watu.

Na pia makampuni yanayomilikiwa na wageni kama vile Vodacom, kwanini wasiangalie ndani ya nchi kwanza ilibidi wafuate nchi jirani, maana kwa kweli lazima wawe makini kwa sababu mkurungezi wanayemleta lazima awahakikishie kwamba
- Kampuni itaendelea kuongeza faida kwenye P&L
- Ataanzisha mikakati na kuisimamia
- Atawajibika kwenye bodi ya wakurungezi
- Atasimamia na kuhakikisha utenda kazi wa waajiriwa zaidi ya 500
- Ataendesha vikao vya washika dau na kuwaridhisha kwenye kila hatua na pia vikao vya mwaka (AGM)
- Atahakikisha sheria za nchi zinazngatiwa na kukwepa mahakama ama uingiliwaji na serikali
- Uimara wa kampuni kwenye soko la hisa
- Bidhaa kama mpesa zitaendelea kuimarika kwenye mazingira yenye ushindani mkubwa
- Kuwezesha kampuni kutanua na kusambaa kote kote huku wakiwa makini kwa kila hatua
- Kuwathibiti matapeli kila siku na pia dhidi ya wahujumu hata walio ndani ya kampuni

Yaani orodha ya majukumu ni ndefu ambayo sio kila mtu atatamani kuvaa hivyo viatu.

Hivyo, nawasilisha tu kama kitu mnachofaa kukijadili kwa kina bila kulea machungu, wivu na chuki

Kwenda zako huko. Niambie ni watanzania wangapi mmeajiri kwenye corporate huko kwenu?
Kwahiyo unaona Sylvia ndio the best candidate kuliko watanzania wote. Acha matusi kijana
 
Kama kawaida no evidence just blubbering to score points from your fellow dimwits.
Good answer...Lets play
51_diarrhea-dogs.jpg
 
Kwenda zako huko. Niambie ni watanzania wangapi mmeajiri kwenye corporate huko kwenu?
Kwahiyo unaona Sylvia ndio the best candidate kuliko watanzania wote. Acha matusi kijana

Sio sisi tumeona umuhimu wake huko, ila wenye kampuni yao ndio wanamhitaji.
Binafsi ningetamani apewe kampuni ya kusimamia Kenya, maana kichwa kama cha kwake sio cha kuwachia kiulaini, tunaishia kuwa na brain drain.
 
Sio sisi tumeona umuhimu wake huko, ila wenye kampuni yao ndio wanamhitaji.
Binafsi ningetamani apewe kampuni ya kusimamia Kenya, maana kichwa kama cha kwake sio cha kuwachia kiulaini, tunaishia kuwa na brain drain.
Sour grapes, pambana na hali ya kenya, Makampuni yana simamiwa kwa ukabila.
 
Naona mk24 ameblacklist this guy..jamaa amepost
.ametusi na hakuna reply
.sema kuwa savage ...

Sijajua unazungumza kuhusu nani, au labda ni zwazwa fulani hujifanya Mkenya, nilishalitia kwenye ignore list, hivyo huwa sioni replies zake maana halipo humu kujadili, ni kama huwa limelipwa kutroll Wakenya.
Hivyo huwa hata likitusi vipi, JF huzuia nisione matusi yake.
 
Sijajua unazungumza kuhusu nani, au labda ni zwazwa fulani hujifanya Mkenya, nilishalitia kwenye ignore list, hivyo huwa sioni replies zake maana halipo humu kujadili, ni kama huwa limelipwa kutroll Wakenya.
Hivyo huwa hata likitusi vipi, JF huzuia nisione matusi yake.
Very good to see that you sneak view my posts..Well they are not ment for Jubilee fools like you, they are meant for all JF subscribers Kenyans and Tznans to see your blantant foolishness. And its has worked, Now no one regards your posts with any seriousness, they see childish nonesense.. So keep blocking, it actually helps when your stupidity is called out with no interferance of another stupid reply.. And recruit your ilk, let them block...I have been begging them to let their female hormones rage!
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom