Maswali yaliyokosa majibu ndani ya malumbano ya hoja ITV leo 6/2/25

Maswali yaliyokosa majibu ndani ya malumbano ya hoja ITV leo 6/2/25

Habari za usiku huu.

Nimeangalia Malumbano ya hoja ITV kuhusu kusitishwa kwa USAid na haya ni maswali Yaliyokosa Majibu ivyo mwenge kujua na asaidie majibu.

1. Ikiwa mtu atahitaji/watanzania wanahitaji kujua izo dawa zikiuzwa zitauzwa kwa bei gani? Au ni sh.ngapi kwa dozi?

2. Eti dawa zikitolewa huwa zinaambatana na chakula, Je ela ya chakula ilikuwa inaenda wapi ikiwa walikuwa wanapewa dawa tu?

3. Dk.Kalulu wa dawa za mitishamba mbona hakupewa airtime ya kutosha kuelezea dawa za asili zinawezaje kusaidia? Au kwa nn ITV hawakuchukua ata mtu Mmoja wa tiba mbadala ili kupata utafiti wao,,?

4. Je, serikali ina mtizamo gani kuhusu wataalam wa afya ambao walikuwa chini ya USAID, je itawapa ajira ili waendelee na kazi zao au ndo wamestaafu ivyo??

5. Je, baada ya miezi3 US ikataka tena kutupa dawa, tutakubali au lah?

6. Je, dawa za ARV zinatolewa/ tengenezwa na US peke ake?

Majibu kwa wajuzi wa mambo
6. Kutoa hakuhusiani na kutengeneza, unanunua kokote duniani kisha unagawa.
5. Mswahili hata umkejeri kuhusu kupenda vya bure, kuacha ng'o.
4. Wao walikuwa sawa na mastookipa, utawapa kazi ya kugawa nini?
3. Angeeleza nini wakati hajui hata idadi ya aliowatibu na kupona! Hata hivyo anazo dawa za kusambaza nchi nzima?
2. USAID hugawa chakula kwa wanafunzi na makundi maalumu, siyo wagonjwa.
1.Swala la kuuza halihusiani na USAID, hilo ni nje ya mada.
Hitimisho, na wewe jifunze kuandika kiswahili fasaha achana na cha kizaramo, hii mambo ya ela usiilete tena humu.
 
Nilichogundua bado watanzania wengi hawana ufahamu kuhusu hi,i agreements, hawana ufahamu kuhusu pesa, watu wengi wanatake pesa individual feeling.
Nimeangalia marumbano ya hoja. Dakika kumi sikumaliza nikaenda kuangalia mpira.
Yaani ni hopeless. Nakuja huku, mtoa thread very hopeless. Hajui hata dawa zinatokea wapi. Kakaa mpaka kaandika chini maswali yasiyo na majibu.

Hajui hata misaada hii ipoje.

Hajui waajiriwa wa USAID ni kina nani, wanafanya nini.
Hajui siku tisini ni za nini.
bado anaanza kuongea kuhusu mtu kajitokeza kwenye TV anasema ana dawa ya kuogesha.
Hopeless kabisa.
Katika wajuaji pori na wajivuni wewe unaongoza. Kama unafahamu eleza kwa ufasaha watu wajue sio kukejeli. Haya wewe unajua inakusaidia nini. Hovyo kabisa.
 
Nilichogundua bado watanzania wengi hawana ufahamu kuhusu hi,i agreements, hawana ufahamu kuhusu pesa, watu wengi wanatake pesa individual feeling.
Nimeangalia marumbano ya hoja. Dakika kumi sikumaliza nikaenda kuangalia mpira.
Yaani ni hopeless. Nakuja huku, mtoa thread very hopeless. Hajui hata dawa zinatokea wapi. Kakaa mpaka kaandika chini maswali yasiyo na majibu.

Hajui hata misaada hii ipoje.

Hajui waajiriwa wa USAID ni kina nani, wanafanya nini.
Hajui siku tisini ni za nini.
bado anaanza kuongea kuhusu mtu kajitokeza kwenye TV anasema ana dawa ya kuogesha.
Hopeless kabisa.
kama we ni hopefull si useme hali ikoje?
 
Nilichogundua bado watanzania wengi hawana ufahamu kuhusu hi,i agreements, hawana ufahamu kuhusu pesa, watu wengi wanatake pesa individual feeling.
Nimeangalia marumbano ya hoja. Dakika kumi sikumaliza nikaenda kuangalia mpira.
Yaani ni hopeless. Nakuja huku, mtoa thread very hopeless. Hajui hata dawa zinatokea wapi. Kakaa mpaka kaandika chini maswali yasiyo na majibu.

Hajui hata misaada hii ipoje.

Hajui waajiriwa wa USAID ni kina nani, wanafanya nini.
Hajui siku tisini ni za nini.
bado anaanza kuongea kuhusu mtu kajitokeza kwenye TV anasema ana dawa ya kuogesha.
Hopeless kabisa.
Wewe ni TAAHIRA.
Umekaa kulopoka mleta mada hajui hiki, hajui kile.
Ndio hajui, na ndio maana kaomba kujulishwa na wanaojua.
Wewe unayejua umejibu nini hapo zaidi ya kuonyesha utaahira wako uliochanganyikana na makasiriko?
 
Nilichogundua bado watanzania wengi hawana ufahamu kuhusu hi,i agreements, hawana ufahamu kuhusu pesa, watu wengi wanatake pesa individual feeling.
Nimeangalia marumbano ya hoja. Dakika kumi sikumaliza nikaenda kuangalia mpira.
Yaani ni hopeless. Nakuja huku, mtoa thread very hopeless. Hajui hata dawa zinatokea wapi. Kakaa mpaka kaandika chini maswali yasiyo na majibu.

Hajui hata misaada hii ipoje.

Hajui waajiriwa wa USAID ni kina nani, wanafanya nini.
Hajui siku tisini ni za nini.
bado anaanza kuongea kuhusu mtu kajitokeza kwenye TV anasema ana dawa ya kuogesha.
Hopeless kabisa.
Sasa wewe mwenye akili timamu si ndio ungejibu kwa usahihi katika mtiririko wake. Why kukosoa kila kitu bila suluhu khaa🚮
 
1.....naamini Bei itapatika na huenda kukawa na ruzuku ya serikali kupunguza ukali wa Bei. Ama diplomasia itatumika na Mambo yatakuwa shwari.

4.... Nafikiri hao wataalam wanaweza kuajirika serikalini ama private haya ni maisha ya kawaida kwa watu NGO na taasisi zingine za kimataifa na binafsi naamini huenda hata kazi zao zilikuwa za kimkataba.

5... Haya ya kaisari tumuachie itmwenyewe
 
Nilichogundua bado watanzania wengi hawana ufahamu kuhusu hi,i agreements, hawana ufahamu kuhusu pesa, watu wengi wanatake pesa individual feeling.
Nimeangalia marumbano ya hoja. Dakika kumi sikumaliza nikaenda kuangalia mpira.
Yaani ni hopeless. Nakuja huku, mtoa thread very hopeless. Hajui hata dawa zinatokea wapi. Kakaa mpaka kaandika chini maswali yasiyo na majibu.

Hajui hata misaada hii ipoje.

Hajui waajiriwa wa USAID ni kina nani, wanafanya nini.
Hajui siku tisini ni za nini.
bado anaanza kuongea kuhusu mtu kajitokeza kwenye TV anasema ana dawa ya kuogesha.
Hopeless kabisa.
images (17).jpeg
 
Nilichogundua bado watanzania wengi hawana ufahamu kuhusu hi,i agreements, hawana ufahamu kuhusu pesa, watu wengi wanatake pesa individual feeling.
Nimeangalia marumbano ya hoja. Dakika kumi sikumaliza nikaenda kuangalia mpira.
Yaani ni hopeless. Nakuja huku, mtoa thread very hopeless. Hajui hata dawa zinatokea wapi. Kakaa mpaka kaandika chini maswali yasiyo na majibu.

Hajui hata misaada hii ipoje.

Hajui waajiriwa wa USAID ni kina nani, wanafanya nini.
Hajui siku tisini ni za nini.
bado anaanza kuongea kuhusu mtu kajitokeza kwenye TV anasema ana dawa ya kuogesha.
Hopeless kabisa.
Mm nikusaidie tu kusema, UNA SHIDA KUBWA KICHWANI, sikwambii Ni ipi maana hutakubar kuwa Ni yako... Mental health problem is real
 
Search

Reason


Dawa za kufubaza makali ya VVU (ARV) nchini India zinapatikana kwa bei nafuu ikilinganishwa na nchi nyingi duniani. Hii ni kutokana na uwezo wa viwanda vya dawa nchini humo kuzalisha ARV kwa gharama ya chini. Kwa mfano, gharama ya wastani ya dawa za ARV kwa mgonjwa mmoja kwa mwezi inaweza kuwa chini ya Dola za Marekani 10, ingawa bei inaweza kutofautiana kulingana na aina ya dawa na sera za ununuzi.
Kwa upande wa Tanzania, gharama ya dawa za ARV kwa mgonjwa mmoja kwa mwezi inakadiriwa kuwa Dola za Marekani 58.20, sawa na takriban Shilingi 135,780. Hii inaonyesha tofauti kubwa ya bei kati ya nchi hizi mbili, ambapo India ina faida ya uzalishaji wa ndani wa dawa hizi kwa gharama nafuu

Hata hivyo, ni muhimu kutambua kuwa bei hizi zinaweza kubadilika kutokana na mambo kama vile sera za serikali, mikataba ya ununuzi, na gharama za usafirishaji. Kwa hivyo, kwa taarifa sahihi na za hivi punde kuhusu bei za ARV nchini India, inashauriwa kuwasiliana na mamlaka husika za afya au wasambazaji wa dawa nchini humo.
Kumbe tunaweza pata arv's za kutoka india za tsh.30,000 kwa mwezi,tutatoboa tu
 
Kuna kipindi kuna andiko flani nilikua naandika, nikaja kugundua kuwa Waathirika wote ambao wako Kazini, I mean waajiriwa wanatakiwa kupewa pesa kila mwezi na mwajiri wake, kwa Walimu inaitwa Pesa ya matunda, wengine pesa ya sabuni
 
Nadhani hata Tanzania tunazalisha ARVs kwa viwanda vyetu vya ndani. I remember pia kuwa kulikywa na kesi ya Mkurugenzi wa Tanzania Pharmaceutical Industries - Somebody Mr.Madabida kwamba kiwanda chake kilizalisha ARV fake several years ago.

So technical capacity ya kuzalisha hizi dawa naamini tunao. Shida iko kwenye gharama. Ndio maana tunawahitaji hawa donor watusaidie ku subsidize ili ziwe affordable mtaani
 
kujibu swali la mwisho

Dawa za ARV (Antiretroviral) zinazotumika kutibu VVU (Virusi vya Ukimwi) hutengenezwa na kampuni za dawa mbalimbali duniani. Nchi zinazozalisha dawa hizi ni pamoja na Marekani, Uingereza, India, na nchi nyingine za Ulaya. Kampuni kama Gilead Sciences, ViiV Healthcare, na Cipla ni baadhi ya watengenezaji wakubwa wa dawa za ARV. India, kwa mfano, inajulikana kwa kutengeneza dawa za ARV kwa bei nafuu, na inachukua nafasi muhimu katika usambazaji wa dawa hizi duniani, hasa kwa nchi zinazoendelea.
Marekebisho mkuu, ARV(Antiretroviral) hazitibu virusi vya ukimwi,, ila ni dawa zinazo fubaza virusi vya ukimwi. Samahani kama nimekosea
 
kwenye huu uzi nlikuw napitia koment ili kujifunza, nmegundua watoa koment wote wamejalb kutoa wanalolifaham,ila n mmoja tu kichwani ni mweupe na hana akili. mana amepg kelele nyingi afu hajatoa hoja yeyote zaid ya kujiona mjuaji!. tujifunze kukaa kmya kama tutahis hatuna jambo la kuchangia.
 
Unaweza kuwa msomi ila ukawa unatoa hoja sawa na mtoto wa darasa la pili
Soma ulichoandika😀😀😀😀😀
Nilitegemea ungejibu kisomi ila umejibu sawa na mtoto wa darasa la pili. Hongera!
Sawa ww ona mm niko darasa la pili, ila nimeghafirika sana
 
Back
Top Bottom