Maswali yaliyokosa majibu ndani ya malumbano ya hoja ITV leo 6/2/25

Maswali yaliyokosa majibu ndani ya malumbano ya hoja ITV leo 6/2/25

Katika wajuaji pori na wajivuni wewe unaongoza. Kama unafahamu eleza kwa ufasaha watu wajue sio kukejeli. Haya wewe unajua inakusaidia nini. Hovyo kabisa.
Sema uwezavyo , note my point.ujinga mwingi saaaaaana,
 
Wewe ni TAAHIRA.
Umekaa kulopoka mleta mada hajui hiki, hajui kile.
Ndio hajui, na ndio maana kaomba kujulishwa na wanaojua.
Wewe unayejua umejibu nini hapo zaidi ya kuonyesha utaahira wako uliochanganyikana na makasiriko?
Huna tofauti na mtoa mada na wenzake wa ITV
 
Inamaana Africa hakuna nchi hata Moja iliyoweza kutengeneza ARV.??

Au Kuna kibali maalumu kwa ajili ya kutengenezaji wa ARV!??

Na je formula ya utengenezaji wa dawa hizo ni Siri au inabei kubwa kiasi nchi zote hizi hakuna nchi ilionunua formula hio??

Watalaam na wachemia wa dawa hapa nchini walishindwa siku zote kuzifanyia tafiti dawa hizo ili kugundua formula iliotumika ni ipii??
 
Back
Top Bottom