Huo u-hot button ndio irrelevant kwa jamii ya Tanzania. Kutapakaa hakufanyi kitu kuwa controversial.kwa hiyo tumeshakubaliana kama haya masuala si 'irrelevant foreign' issues madhali yametapakaa kwenye jamii ya Tanzania.
ya kitandani hayaongelewi Tanzania, hakuna aliyeandika ilani ya kuhalalisha u$enge au kutoa mimba. Yanaweza kuwa ni tatizo kwako, lakini kama jamii, hayako kwenye mazungumzo.unataka kunambia kwa sababu kuna matatizo mengi ya kwenye meza ya chakula, ya kitandani yanakosa hadhi ya kuwa ni matatizo pia?
Bado kwa Tanzania haya sio "hot button" issues. Hakuna mrengo wa kisiasa unaosimamia haki yake ya kutoa mimba.ushakaa ukajiuliza wanafunzi wangapi ambao sheria inawazuwia kushiriki kwenye mambo ya kitandani wanatoa mimba? ushajiuliza wangapi wanatoa mimba kwa madaktari wa vichochoroni bila ya familia zao kujua?
Kama kitu hakijadiliwi, hakiwezi kuwa "hot button" issue.haya masuala yataendelea kuwa hot button issues kwa sababu yakijadiliwa yataibua hisia kubwa kwa wananchi.
Kuazima azima vi concept vya kwingine kuvileta Tanzania ni kichekesho, ni pitfall ya kizazi kilichokuwa miseducated uhamishoni. "Homosexuality and abortion rights are hot button issues in Tanzania...." Hahahahahaaaaaaa