Maswali yazuka ushindi wa Ukraine.Kadyrov asema hakuna eneo lililokombolewa.

Maswali yazuka ushindi wa Ukraine.Kadyrov asema hakuna eneo lililokombolewa.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ikiwa ni siku chache tangu habari zisambae kuhusu Ukraine kuwarudisha nyumba askari wa Urusi na kukombolewa kwa kilomita mraba zaidi ya 8000 imefahamika kuwa hizo ilikuwa ni habari za uzushi.Mwanzo imejulikana kupitia raisi Kadyrov wa Chechnya ambaye ni mshirika mkubwa wa raisi Putin.Amesema hakuna hata kilomita moja iliyokombolewa na Ukraine.
1663414084930.png
 
Ikiwa ni siku chache tangu habari zisambae kuhusu Ukraine kuwarudisha nyumba askari wa Urusi na kukombolewa kwa kilomita mraba zaidi ya 8000 imefahamika kuwa hizo ilikuwa ni habari za uzushi.Mwanzo imejulikana kupitia raisi Kadyrov wa Chechnya ambaye ni mshirika mkubwa wa raisi Putin.Amesema hakuna hata kilomita moja iliyokombolewa na Ukraine.
View attachment 2359742
Amka wewe usije ukajikojolea kumekucha
 
Ikiwa ni siku chache tangu habari zisambae kuhusu Ukraine kuwarudisha nyumba askari wa Urusi na kukombolewa kwa kilomita mraba zaidi ya 8000 imefahamika kuwa hizo ilikuwa ni habari za uzushi.Mwanzo imejulikana kupitia raisi Kadyrov wa Chechnya ambaye ni mshirika mkubwa wa raisi Putin.Amesema hakuna hata kilomita moja iliyokombolewa na Ukraine.
View attachment 2359742
huyo ni baba levo wa Urusi
 
Back
Top Bottom