Amka wewe usije ukajikojolea kumekuchaIkiwa ni siku chache tangu habari zisambae kuhusu Ukraine kuwarudisha nyumba askari wa Urusi na kukombolewa kwa kilomita mraba zaidi ya 8000 imefahamika kuwa hizo ilikuwa ni habari za uzushi.Mwanzo imejulikana kupitia raisi Kadyrov wa Chechnya ambaye ni mshirika mkubwa wa raisi Putin.Amesema hakuna hata kilomita moja iliyokombolewa na Ukraine.
View attachment 2359742
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amka wewe usije ukajikojolea kumekucha
bahati nzuri CNN wanaripoti kutokea hapo hapo frontline, sasa wewe kama unaangalia TBC1, then kuna shida hapo.Amesema hakuna hata kilomita moja iliyokombolewa na Ukraine.
Huyu jamaa wananifurahishaga sana wanapomuita 'strong man Kadyrov' ila kwa hili kawa kama chupi iliyotoboka tu.
huyo ni baba levo wa UrusiIkiwa ni siku chache tangu habari zisambae kuhusu Ukraine kuwarudisha nyumba askari wa Urusi na kukombolewa kwa kilomita mraba zaidi ya 8000 imefahamika kuwa hizo ilikuwa ni habari za uzushi.Mwanzo imejulikana kupitia raisi Kadyrov wa Chechnya ambaye ni mshirika mkubwa wa raisi Putin.Amesema hakuna hata kilomita moja iliyokombolewa na Ukraine.
View attachment 2359742
Makomunisti wataacha lini kuwa waongo?