Maswali yenye utata kumhusu Mungu

Maswali yenye utata kumhusu Mungu

Mbepo yamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
1,262
Reaction score
1,773
1. Kwa mujibu wa maandiko, Mungu alimpa amri Adam na Hawa wasile matunda ya mti wa katikati. Hakuwaambia kuwa ni wa ujuzi wa mema na mabaya na wala hakuwaambia ungewafungua macho. Shetani yeye akawaambia watu hizo dondoo kuuhusu huo mti na matunda yake. Je, Shetani alisema ukweli?

2. Mungu alimuumba mwanadamu ‘kwa ukamilifu’. Kama kulikuwa na ukamilifu ikawaje udhaifu wa dhambi ukawa ndani ya mwanadamu?

Ikiwa mwanadamu aliumbwa na udhaifu, na udhaifu ukapelekea yeye kuanguka dhambini. Kwa nini Mungu amuadhibu huyu mwanadamu ikiwa yeye Mungu ndiye aliyeachilia udhaifu kwa mwanadamu?

3. Kuhusu Farao. Maandiko yako wazi kuwa alikubali mara kadhaa kuwaachia wana wa Israeli waende lakini Mungu akaugeuza moyo wa Farao hata akawazuia kila mara. Hatimaye akawaadhibu wamisri kwa misiba.

Sasa kosa la wamisri hapo lilikuwa wapi na ikiwa walikubali kuwaachia waisraeli waende?
 
Swali la kwanza.

Muumba alisema "adamu ukila tunda hakika utakufa", sasa suala lakujua mema na mabaya ndiyo chanzo cha kifo chake.

swali la pili.

Tuliumbwa wakamilifu ila baada ya jamaa kula tunda akatuchomesha, hivyo ukamilifu na utakatifu wetu ukapotea na umauti ukaanza kutuwinda.

Swali la tatu.

Kuhusu suala la farao kufanywa moyo mgumu, Muumba huamua kutuonesha ukuu na nguvu zake kwa namna yeyote aipendayo,

Mfano,
Aliruhusu shetani kumtesa ayubu hadi kuua watoto wake kisa wanataka kuthibitisha imani ya ayubu.

Alimkataza Musa kuingia nchi ya ahadi na WA Israel kisa alishikwa na hasira pale waisrael walipolilia maji jangwani ila Muumba zaidi ya mara moja alikasirika na kutaka kuwateketeza wanawa Israel wote pale walipokufuru, ila Musa aliwaombea msamaha, ila yeye akakosa wa kumuombea msamaha.

Kisa cha daudi kutembea na mke wa askali wake na akamuua, ila Muumba akamwambia hatompatia adhabu yeye (Daudi) ila kizazi chake na ukweli aliwaua watoto wake Daudi.

Visa ni vingi ila vyote kuonesha ukuu wake .

 Asante
 
Mkisha shiba mnaleta nyuzi za kindezi kama hizi. Kama humwamini sawa, ila ukishikwa utamtaja.

Usiku mwema.
Mkuu hayo ni maswali tuu wala siyo hitimisho. Hebu niondolee ukungu kwenye ufahamu wangu juu ya hayo maswali
 
Swali la kwanza.

Muumba alisema "adamu ukila tunda hakika utakufa", sasa suala lakujua mema na mabaya ndiyo chanzo cha kifo chake.

swali la pili.

Tuliumbwa wakamilifu ila baada ya jamaa kula tunda akatuchomesha, hivyo ukamilifu na utakatifu wetu ukapotea na umauti ukaanza kutuwinda.

Swali la tatu.

Kuhusu suala la farao kufanywa moyo mgumu, Muumba huamua kutuonesha ukuu na nguvu zake kwa namna yeyote aipendayo,

Mfano,
Aliruhusu shetani kumtesa ayubu hadi kuua watoto wake kisa wanataka kuthibitisha imani ya ayubu.

Alimkataza Musa kuingia nchi ya ahadi na WA Israel kisa alishikwa na hasira pale waisrael walipolilia maji jangwani ila Muumba zaidi ya mara moja alikasirika na kutaka kuwateketeza wanawa Israel wote pale walipokufuru, ila Musa aliwaombea msamaha, ila yeye akakosa wa kumuombea msamaha.

Kisa cha daudi kutembea na mke wa askali wake na akamuua, ila Muumba akamwambia hatompatia adhabu yeye (Daudi) ila kizazi chake na ukweli aliwaua watoto wake Daudi.

Visa ni vingi ila vyote kuonesha ukuu wake .

 Asante
Mzee umeniwekea maeneo mengi zaidi ya maswali. ILA asante maana umeonesha kwingine kulikotoboka kwenye maandiko
 
1. Kwa mujibu wa maandiko, Mungu alimpa amri Adam na Hawa wasile matunda ya mti wa katikati. Hakuwaambia kuwa ni wa ujuzi wa mema na mabaya na wala hakuwaambia ungewafungua macho. Shetani yeye akawaambia watu hizo dondoo kuuhusu huo mti na matunda yake. Je, Shetani alisema ukweli?

2. Mungu alimuumba mwanadamu ‘kwa ukamilifu’. Kama kulikuwa na ukamilifu ikawaje udhaifu wa dhambi ukawa ndani ya mwanadamu?

Ikiwa mwanadamu aliumbwa na udhaifu, na udhaifu ukapelekea yeye kuanguka dhambini. Kwa nini Mungu amuadhibu huyu mwanadamu ikiwa yeye Mungu ndiye aliyeachilia udhaifu kwa mwanadamu?

3. Kuhusu Farao. Maandiko yako wazi kuwa alikubali mara kadhaa kuwaachia wana wa Israeli waende lakini Mungu akaugeuza moyo wa Farao hata akawazuia kila mara. Hatimaye akawaadhibu wamisri kwa misiba.

Sasa kosa la wamisri hapo lilikuwa wapi na ikiwa walikubali kuwaachia waisraeli waende?
Kila ulichoandika, sindikiza na kifungu cha hayo maandiko kama ushahidi.
 
Mzee umeniwekea maeneo mengi zaidi ya maswali. ILA asante maana umeonesha kwingine kulikotoboka kwenye maandiko
Usiiandae akili yako kuuliza kila mara ila iandae kufikilia, kukubali na kupokea majibu sahihi kutoka kwa watu sahihi.
 
Back
Top Bottom