Mataifa 10 yanayoongoza kwa kuwa na hifadhi kubwa ya dhahabu.

Namaanisha kila mwenye nayo aipeleke sokoni kwa mkupuo, pia unaweza kuishi bila dhahabu, ila ni lazima uishi juu ya ardhi
Kumbuka kijijini kuna ardhi zinauzwa mpaka 100,000/= na kubwa. Kuna baadhi ya vijiji ardhi aina thamani kabisa unaenda kwa mwenyekiti anakukatia. Thamani ya ardhi ipo so specific. Thamani ya ardhi ya kitongoji kizima kijijini lindi inaweza isizidi ardhi ya heka moja masaki. Watu wanahifadhi utajiri kwenye dhahabu au dollar kwa sababu zipo fixed dunia nzima na effect ya bei yake ni ya dunia nzima. Pili soko la dhahabu lipo muda wote linakusubili wewe mwenye dhahabu sasa ukitaka kuhamisha ardhi kwenye pesa ni mchakato pia.
 
Namuunga mkono Jiwe kwa sisi kuwa na hifadhi ya dhahabu tatizo BOT wanaambiwa lakini hawasikii. Tutafika tu lakini.
Watasikia tu ndani ya muda mfupi mbele ya maagizo ya mheshimiwa Rais.
 
Unafahamu kwamba hata chumvi watu walitumia kama means of exchange? Je, utasema chumvi ni hazina?
 
Elewa essence ya hoja yangu, Dhahabu is only as valuable as people are willing to pay for it, mtu anaweza akaishi bila dhahabu bila shida yeyote ile, lakini lazima uishi juu ya Ardhi.
Anything has value as only as people are ready to pay it.....Value ni makutano kati ya mnunuzi na muuzaji. Ardhi uwezo wa kushuka bei upo. Compare kipind cha JK na sasa hivi kuna maeneo bei ya Ardhi imeshuka....Thamani ya kiwanja haipadni tu year after kama watu wengi wanavyofikiri...Kuna many underlying factors.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…