Mataifa 11 ya Afrika Magharibi yaandaa yajitolea kupokeza wanajeshi watakaokwenda kuiweka sawa Niger

Mataifa 11 ya Afrika Magharibi yaandaa yajitolea kupokeza wanajeshi watakaokwenda kuiweka sawa Niger

Kwa hili la Niger,Niko tayari kukupinga MK254 Tena hadharani.
Tena ujue Mimi ni mkenya mwenzako.
Thubutu...mamaeeé!💪
Tutatoka vijana Africa nzima Hadi Arabuni kusimama na waafrika wenzetu waNiger.

Usikurupuke bro, ninachopinga ni utawala wa kijeshi, mengine hayo unayobwatuka mara Mfaransa sijui Muarabu, mara Ukenya siko huko, utawala upokezwe kwa raia na nchi iongozwe kwa misingi ya kidemokrasia.

Hata Kenya, licha ya ninavyochukizwa na utawala kwenye baadhi ya namna wanavyoboronga, ila siwezi kutamani nchi ichukuliwe na kutawaliwa na wanajeshi, tulumbane kama raia, tubishane, tusukumane mpaka kieleweke ila tubaki humu humu uraiani.

Wanajeshi wakiichukua nchi huwa ni balaa nyingine, kwanza wanajeshi wetu Afrika ni mafisadi kupita maelezo, bajeti zao hazijadiliwi wanajificha kwenye kivuli cha eti ni masuala ya usalama na nyeti pia, wanaiba hela sana wale, sasa wakichukua uongozi wataiba bila kukosolewa, na pia wenyewe watapigania uongozi maana tayari wameonja, utakuta kanali sijui brigedia mara generali wanapinduana.
 
A
PUMBAFU KIBARAKA WA WAZUNGU. Niger inasafa kwasababu kuna masilahi makubwa kwa ufaransa, marekani na Nigeria. Kama mapinduzi yameshafanywa sana Afrika kwanini sasa iwe nongwa?

Wanaiga wenyewe wanasemaje kuhusu hayo mpinduzi? Wameyafurahia au wameyakataa? Unafikiri nani wana uchungu zaidi kati ya Niger na ECOWAS??

Bado nasisitiza utawala urudi kwa raia....wanajeshi warudi makambini, kwanza hamna watu mafisadi kama viongozi jeshini.
 
Democracy ipi?ya Niger kuibiwa rasilimali zake na nchi za magharibi?wewe hujawahi kutumia akili.

Ustadhi kote unapoteza, kule Ukraine na huku pia.....pole kwa kuwa upande wa hovyo kihistoria kisa mihemko ya kidini.
 
Waafrika wanachohitaji ni katiba zenye haki ya kufanya a recall vote, na wananchi wenye elimu ya uraia.

This way mkimchagua rais aongoze miaka mitano, baada ya miaka miwili mkiona hafai, wananchi wanamuondoa kwa recall vote, bila kuhitaji kutumia mapinduzi ya kijeshi.

Hili ndio tamko lililoenda shule, inapaswa kila anayefyatuka asome hili bandiko kwanza.
 
Kwanini NIGER?? na SIO MALI WALA bukinafaso SEEMS kama NIGER ni SEHEMU NZURI kwa maslahi ya WAZUNGU!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Moja ya kitu kinachofanya wazungu wafanikiwe ni kuwa na democracy na sela nzuri & katiba nzuri......kwani kwao kiongozi sio mungu....ila when it comes to Africa wazungu hawana nia nzuri na Africa .... Wapo kwa ajili ya maslahi yao ...this time wanataka kukuza uchumi wa kupitia SILAHA na waafrica wanakubali [emoji23][emoji23] ila kweli Waafrica na waarabu akili hamna kichwani!!!
 
Democracy ipi?ya Niger kuibiwa rasilimali zake na nchi za magharibi?wewe hujawahi kutumia akili.
Nashindwa kuwaelewa wale wanaosema kwamba Niger wameibiwa sana na wazungu, si mtupe basi ushahidi namna walivyoibiwa wakati wenyewe wapo na wanaona.

Ni yaleyale ya kusema waarabu wanatuibia wakati bandari mmewapa wenyewe tena wengine wamehongwa hadi magari sasa hapo utamlaumu vipi mwarabu wakati umekubali amekuhonga.

Ni sawa na mwanamke unamlaumu mwanamume amekupa ukimwi wakati ni wewe mwenyewe ulipenda hela yake. Bure kabisa.
 
Nashindwa kuwaelewa wale wanaosema kwamba Niger wameibiwa sana na wazungu, si mtupe basi ushahidi namna walivyoibiwa wakati wenyewe wapo na wanaona.

Ni yaleyale ya kusema waarabu wanatuibia wakati bandari mmewapa wenyewe tena wengine wamehongwa hadi magari sasa hapo utamlaumu vipi mwarabu wakati umekubali amekuhonga.

Ni sawa na mwanamke unamlaumu mwanamume amekupa ukimwi wakati ni wewe mwenyewe ulipenda hela yake. Bure kabisa.

Hilo la bandari kwa mwarabu ni mfano mzuri sana.
 
Back
Top Bottom