Kabla ya kutangaza vita juhudi Gani zilifanyika, Kwanza Mwalimu alitaka OAU, kulaani vitendo kile na ukitaka Uganda kuondoa majeshi yake na pia ukitaka Dunia kifanya hivyo kupitia UN. Baada ya hapo ndio ikafuatia hotubaKwa nini Tanzania isingeiachia Uganda lile eneo la Kagera mwaka ule wa 1978❗❓
Ambayo ilikuwa na vitu vinne
Nia ya kupiga tunayo
Na uwezo wa kumpiga tunao.
Sasa Ukraine anaweza kuwa na Nia ya kumpiga Urusi lakini uwezo je anao??
Hivyo tofautisha vita vya Ukraine na Urusi na vya Tz na Ug, au Iraq na Iran, Somalia na Ethiopia, vya Ogaden , Biafra, NK nk