Mimi sielewi mnacholalamika nini?.
TANZANIA YA MTAANI NA TANZANIA YA JAMII FORUMS NI TOFAUTI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi kama UK ambao wana uwezo mkubwa hata wasipofanya kazi wanaweza kuishi kwa kutumia mbinu za exchange mechanism rate etc wameshindwa lock down itakuwa nyinyi wamatumbi? JPM will remain 100% correct. Ni sawa na wakati wa kupigania uhuru wa Southern African countries watu wengi walimcheka J K Nyerere lakini mwisho wa siku alifanikiwa itakuwa wakati huu ambao wasomi wapo wengi na hatuwezi kuburuzwa? Covid-19 ni ugonjwa mdogo tu kwa sababu mbinu za kujikinga zipo, watu wanapona kutokana na immunity yao tu. Imeingia na itapita siku zinaendelea kama magonjwa mengine yaliyopita.
Yani kama unaamini kuwa Rais wako yupo sahihi basi kajitafakari.Nchi kama UK ambao wana uwezo mkubwa hata wasipofanya kazi wanaweza kuishi kwa kutumia mbinu za exchange mechanism rate etc wameshindwa lock down itakuwa nyinyi wamatumbi? JPM will remain 100% correct. Ni sawa na wakati wa kupigania uhuru wa Southern African countries watu wengi walimcheka J K Nyerere lakini mwisho wa siku alifanikiwa itakuwa wakati huu ambao wasomi wapo wengi na hatuwezi kuburuzwa? Covid-19 ni ugonjwa mdogo tu kwa sababu mbinu za kujikinga zipo, watu wanapona kutokana na immunity yao tu. Imeingia na itapita siku zinaendelea kama magonjwa mengine yaliyopita.
Wakujitafakari mbona anajulikana, anawewesekaweweseka JF kukandia maendeleo ya Watanzania.Yani kama unaamini kuwa Rais wako yupo sahihi basi kajitafakari.
Uko sahihi, je huyo JPM anapigana na haka kaugonjwa kadogo akiwa wapi? Mwanzoni tuliambiwa yuko likizo, baadae ikageuzwa kaenda kumuona mama yake maana ni mgonjwa. Je saa hizi mko na maelezo gani tofauti na ya hapo awali?
Hivi mtu mwenye akili atasema kwamba tutaishi na Corona kama tunavyoishi na ukimwi au Malaria? Akili za wapi hizo?Hili suala la COVID 19 kabla halijaanza kusambaa huko kwa majirani sisi huku tulipiga kelele sana. Tulipiga kelele tukabezwa, tukadharauliwa, tukatukanwa. Kumbe waliokuwa wakitutukana walikuwa hawajui chochote kuhusu huu ugonjwa. Aibu!
Kikundi cha sisi wa kwenye mtandao tumeonyesha mapenzi mema na hii nchi na zaidi tunaonekana kujua mambo kwa usahihi sana kuliko CCM na serikali yake. Tupo imara.
Hatimaye mataifa jirani yanathibitisha leo kuwa Tanzania ni epicenter kwa maambukizi ya Corona. Hilo kwa sasa halina mjadala tena.
Tutamuhukumu Rais Magufuli kwa wakati sahihi. Vifo hivi lazima vije kutolewa maelezo tena kwa usahihi. Hii ni nchi na kinachofanya nchi iwepo cha kwanza kabisa ni binadamu walio hai. Uongozi unaopuuzia uhai wa binadamu kamwe usipewe nafasi, huo ni uongozi wa maafa.
Tunaridhishwa na hatua wanazotuchukulia wenzetu. Nilionya kuwa wakati utafika nchi yetu itatengwa kwa kupuuzia hatua zinazotakiwa kuchukuliwa dhidi ya COVID 19. Tunaelewa kuwa zipo hatua kali zaidi zitafuata. Tuwe tayari kutumikia ukaidi wetu!
Ndio uzuri ukiwa rais unaamua ufanye nini kwa wajinga kama wewe.
Sikutegemea maelezo tofauti na haya toka kwako. Hivi kitu imekaa vibaya. Umejifukiza lakini?
Kwani we ndio nani?Hili suala la COVID 19 kabla halijaanza kusambaa huko kwa majirani sisi huku tulipiga kelele sana. Tulipiga kelele tukabezwa, tukadharauliwa, tukatukanwa. Kumbe waliokuwa wakitutukana walikuwa hawajui chochote kuhusu huu ugonjwa. Aibu!
Kikundi cha sisi wa kwenye mtandao tumeonyesha mapenzi mema na hii nchi na zaidi tunaonekana kujua mambo kwa usahihi sana kuliko CCM na serikali yake. Tupo imara.
Hatimaye mataifa jirani yanathibitisha leo kuwa Tanzania ni epicenter kwa maambukizi ya Corona. Hilo kwa sasa halina mjadala tena.
Tutamuhukumu Rais Magufuli kwa wakati sahihi. Vifo hivi lazima vije kutolewa maelezo tena kwa usahihi. Hii ni nchi na kinachofanya nchi iwepo cha kwanza kabisa ni binadamu walio hai. Uongozi unaopuuzia uhai wa binadamu kamwe usipewe nafasi, huo ni uongozi wa maafa.
Tunaridhishwa na hatua wanazotuchukulia wenzetu. Nilionya kuwa wakati utafika nchi yetu itatengwa kwa kupuuzia hatua zinazotakiwa kuchukuliwa dhidi ya COVID 19. Tunaelewa kuwa zipo hatua kali zaidi zitafuata. Tuwe tayari kutumikia ukaidi wetu!
kwani ss tunategemea nn hasa kutoka kwa Lungu?Waambie wafunge kabisa mipaka yao,!
Lakini usisahau kwamba hili la corona haliwezi kuwaepusha chadema kupata kipigo oktoba mwaka huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajali uhai gani wakati mnahangaikia matumbo yenu kwa fedha za mabeberu, tatizo mnadhani wa tz wote ni mbumbumbu kama wanachama wenu machadema, hayajui malengo ya viongozi wao, we unalaumu nn, ss hivi wazungu wenyewe wanaondoa Lockdown zao na hali zao bado mbaya, ss mnalaumu nn hapa kwetu malofa nyie!!!?Baadhi ya wanaccm walioteuliwa maalumu kwa kazi ya propaganda humu jf utadhani hawaoni hali halisi.Uongozi wowote usiojali uhai wa raia wake ni wa kipingwa kwa nguvu zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mind your business.
Tatizo ni location alipo au hatua stahiki zichukuliwe na serikali yake?Uko sahihi, je huyo JPM anapigana na haka kaugonjwa kadogo akiwa wapi? Mwanzoni tuliambiwa yuko likizo, baadae ikageuzwa kaenda kumuona mama yake maana ni mgonjwa. Je saa hizi mko na maelezo gani tofauti na ya hapo awali?
Yani ccm ife kabla ya oktoba? Unaota?Na huyo unayemtarajia akifa kabla ya October?
Anajulikana huyo ni chademaKwa nini mtu akiongea tofauti na sisiem mnampa jina ni Chadema.?
Rubbish,taka taka,mavi ya nguruweHili suala la COVID 19 kabla halijaanza kusambaa huko kwa majirani sisi huku tulipiga kelele sana. Tulipiga kelele tukabezwa, tukadharauliwa, tukatukanwa. Kumbe waliokuwa wakitutukana walikuwa hawajui chochote kuhusu huu ugonjwa. Aibu!
Kikundi cha sisi wa kwenye mtandao tumeonyesha mapenzi mema na hii nchi na zaidi tunaonekana kujua mambo kwa usahihi sana kuliko CCM na serikali yake. Tupo imara.
Hatimaye mataifa jirani yanathibitisha leo kuwa Tanzania ni epicenter kwa maambukizi ya Corona. Hilo kwa sasa halina mjadala tena.
Tutamuhukumu Rais Magufuli kwa wakati sahihi. Vifo hivi lazima vije kutolewa maelezo tena kwa usahihi. Hii ni nchi na kinachofanya nchi iwepo cha kwanza kabisa ni binadamu walio hai. Uongozi unaopuuzia uhai wa binadamu kamwe usipewe nafasi, huo ni uongozi wa maafa.
Tunaridhishwa na hatua wanazotuchukulia wenzetu. Nilionya kuwa wakati utafika nchi yetu itatengwa kwa kupuuzia hatua zinazotakiwa kuchukuliwa dhidi ya COVID 19. Tunaelewa kuwa zipo hatua kali zaidi zitafuata. Tuwe tayari kutumikia ukaidi wetu!
Sawa!Hii mada sio ya uchaguzi, na hata kama ni ya uchaguzi bado ccm hawana cha kujivunia kwenye uchaguzi, maana hawashindi kwa kura bali kwa matumizi mabaysla ya madaraka aliyonayo rais. Wananchi walishaamka zamani sana boss.
We mbona unachat hujafa, umejilockdown wapi kamanda?Hili suala la COVID 19 kabla halijaanza kusambaa huko kwa majirani sisi huku tulipiga kelele sana. Tulipiga kelele tukabezwa, tukadharauliwa, tukatukanwa. Kumbe waliokuwa wakitutukana walikuwa hawajui chochote kuhusu huu ugonjwa. Aibu!
Kikundi cha sisi wa kwenye mtandao tumeonyesha mapenzi mema na hii nchi na zaidi tunaonekana kujua mambo kwa usahihi sana kuliko CCM na serikali yake. Tupo imara.
Hatimaye mataifa jirani yanathibitisha leo kuwa Tanzania ni epicenter kwa maambukizi ya Corona. Hilo kwa sasa halina mjadala tena.
Tutamuhukumu Rais Magufuli kwa wakati sahihi. Vifo hivi lazima vije kutolewa maelezo tena kwa usahihi. Hii ni nchi na kinachofanya nchi iwepo cha kwanza kabisa ni binadamu walio hai. Uongozi unaopuuzia uhai wa binadamu kamwe usipewe nafasi, huo ni uongozi wa maafa.
Tunaridhishwa na hatua wanazotuchukulia wenzetu. Nilionya kuwa wakati utafika nchi yetu itatengwa kwa kupuuzia hatua zinazotakiwa kuchukuliwa dhidi ya COVID 19. Tunaelewa kuwa zipo hatua kali zaidi zitafuata. Tuwe tayari kutumikia ukaidi wetu!