pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
[emoji1][emoji1][emoji1]Nyinyi kwa suprise mko juu Sana hata Hii ripoti mmetusuprise kabisa tulifikiri mpo namba 10 hivi kumbe mnachezea 84
mkuu I saw typing errorsShitty education. Kumbe hizo shule Mnaenda kusema ujinga?
Danganyikans don't know the difference between QUALITY and QUANTITY.
Waliokupa like' nao ni dunderheads.. Just like you ...mkorinto na muhogo
Icho sio cha msingi.Mbona unatumia nguvu nyngi kuandika vitu ambavyo havina msingi, Kenya ni nchi ndogo kwa Tanzania ila imeizidi Tanzania kwa mitandao ya barabara na ubora wake, ndio cha msingi.
Si ndio hapo...Huyo jamaa ni kichaa tu Hana jipya
Ushabiki kaweka mbele
Atembee aone sio kuokoteza data kwenye visite uchwara kuja kuturusha roho hapa .
Kumbe huko kwao barabara za vumbi kila Kona ya nchi isipokuwa Nairobi tu
Ahsante kwa kuelewa ni typo. Wengine wetu hutaipu kama tunazungumza na watu/tukiwa darasanimkuu I saw typing errors
Shitty education
Mnaenda kusema ujinga
Danganyikan's
Wewe watakaokupa like tuwaiteje!?
Rwanda v/s Arusha and not Tanzania my frnd.Kuna nchi inatafutwa hapa ili itoe povu!
Halafu hivi Rwanda ukitoa mji mkuu wake Kigali kuna mji mwingine wowote umeendelea kwenye ile nchi?
Ungeatachi na evidensi kidogo angalau tukuelewe mfano,mahali ulipotembelea, muonekano wa miji ya tz n.k. na VAGARANT ni nini??Si ndio hapo...
Kenya mi naifahamu vizuri saana hawa watu ukiacha nairobi tu.
Hapo ni upumbav mtupu dadek... Sio building sio road sio jamii inayoishi..
Yaani hakuna kitu..
Kuna mwaka nilikuwa tour kuule, dar yaani nasafiri ndani ya nchi lakini najiuliza huu ni mkoa au kijiji... Yaaani ni vagarant aisee.
Man asikudanganye mtu.
Kimuonekano tu na uzuri wa majiji.
Tanzania ni number 1.
Kwa tabia za watu, ustaarabu na amani.. Tanzania ni no. 1.
Kwa upatikanaji wa huduma muhimu katika sector zoote Tanzania ni no. 1
Hata biashara na uwekezaji Tz ni no 1.
Sanaa in general Tanzania ni no. 1.
Nina uhakika ni nimefanya utafiti mimi mwenyewe na sio kusoma kwenye visite uchwara kama wajaluo hao
Kenya ni mjini tu. Mwengine akuna barabara. Tanzania kote Kuna barabara za lami nzuri. UKIBABUA LAMI YOTE UTAWEZA KIFUNIKA RWANDA BILA YA KUONEKANA MCHANGA Hivyohivyo na nusu ya KENYATanzania ni nchi kubwa sana (ukichukua Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda) bado hufikii size ya Tanzania. Hivyo hatutarajii kuwa na barabara nzuri kama wenzetu kwa sasa.
Facts
tanzania ina ukubwa wa 945,087Sq. Km
wakati Kenya 580,336Sq. Km,
Uganda 241,037 sq.km
Burundi 27,834Sq.Km na
Rwanda 26,338Sq.Km
Ukijumlisha wote unapata 875,545 sq.km
Hivyo bado zinabakia 69,542sq. Km sawa na Mbuga yote ya Selou, na mkoa wa Kilimanjaro
Ukiiangalia Rwanda Ukichukua Mkoa wa Kilimanjaro 13,250Sq. Km ukilinganisha Mkoa utaibuka kidedea kwa mbali sana
kuna wakati watu walinganishe Mbuzi na mbuzi au kondoo na kondoo sio Kondoo na Mbwa hata kama wote wanaweza kuwa chakula
Watu wanaongelea juu ya quality,weww unaleta sizes za nchi,huwa mnaenda kusomea ujinga shule
Mnaeza kuwa Na long length roads than most countries hapo top ten but cheap roads zenye hazina viwango,
Repoti inaongelea kuhusu quality,rwanda na udogo wake,wanajenga quality asphalt roads.
"zenye hazina"marekebisho tafadhaliWatu wanaongelea juu ya quality,weww unaleta sizes za nchi,huwa mnaenda kusomea ujinga shule
Mnaeza kuwa Na long length roads than most countries hapo top ten but cheap roads zenye hazina viwango,
Repoti inaongelea kuhusu quality,rwanda na udogo wake,wanajenga quality asphalt roads.
hatuna"bidi" tuna bidii mkuuPoleni mfanye bidi kujenga barabara akina geuza ulale.acha kuspend your lifetime on JF na nchi inaoza
"wengine wetu"samahani mkuu ni wengi wetuAhsante kwa kuelewa ni typo. Wengine wetu hutaipu kama tunazungumza na watu/tukiwa darasani
"kila mtu ako" tafadhali marekebisho 🙏Kenya si LDC,
Tunataka hizi infrastructure zote,
Kila mtu ako na taste yake,,,,either utsafiri na road,air ama rail....ivo ndio countries zilizoendelea ziko.
Africa is rising.
Najua atakuja na jibu kali saana ambalo litakuharibia siku wacha nisubiri mpaka nione yaani sipitwi [emoji847][emoji847]Hebu lete evidence wewe. Kwanza umeoga? Usije ukakamatwa na makonda. Nimekuona kwa foleni ya brt kama umevaa 'floaters' chafu na mkeo slippers za bafu[emoji28][emoji28][emoji2][emoji2]
S.A. ni kubwa kuliko TZ, Acha story nyingiTanzania ni nchi kubwa sana (ukichukua Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda) bado hufikii size ya Tanzania. Hivyo hatutarajii kuwa na barabara nzuri kama wenzetu kwa sasa.
Facts
tanzania ina ukubwa wa 945,087Sq. Km
wakati Kenya 580,336Sq. Km,
Uganda 241,037 sq.km
Burundi 27,834Sq.Km na
Rwanda 26,338Sq.Km
Ukijumlisha wote unapata 875,545 sq.km
Hivyo bado zinabakia 69,542sq. Km sawa na Mbuga yote ya Selou, na mkoa wa Kilimanjaro
Ukiiangalia Rwanda Ukichukua Mkoa wa Kilimanjaro 13,250Sq. Km ukilinganisha Mkoa utaibuka kidedea kwa mbali sana
kuna wakati watu walinganishe Mbuzi na mbuzi au kondoo na kondoo sio Kondoo na Mbwa hata kama wote wanaweza kuwa chakula
Mkuu, usifananishe Arusha na vitu vya ajabu.Rwanda v/s Arusha and not Tanzania my frnd.
PumbaAnzisha Uzi tukuzime kwa ushahidi wa data na sio mdomo mrefu Kama wako...kitu mnatushinda ni mdomo bakuli...umeme wenu ni 1359.69 MW Nyang'aus 2700MW,
Weka yenu ya barabara nikuabishe...bure kabisa.
Nayo Kenya is nearly twice the size of Tanzania economically...from GDP to yearly budgets.Pesa ya kujenga daraja moja tu la Kigamboni inatosha kujenga bara bara zote za nchi ya Rwanda na chenji ikabaki!
Acheni kufananisha Tz a vast country with some other tiny countries such as Kenya! Tanzania by size is nearly twice the size of Kenya!