Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nabado geza anajirudia tu kule kutucheka eti tumepita iraq kwa kiwango kidogoEti wanajisifia taarifa za kwamba Kenya ipo ndani ya nchi 50 zenye matatizo ya chakula, wanajisahau ndani ya hizo 50 wao wapo pabaya sana zaidi. Nafikiri bagamoyo wakati aliona hizo taarifa akaja mbio bila kuchukua muda kusoma orodha yote kwanza.
Kwamba kitakwimu Wakenya milioni 1 wakiwa na tatizo la njaa, inawiana na Watanzania milioni 7 wenye njaa.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Kumbe Tanzania iko Chini ya Iraq na Umbali sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naisha mamaweee!!