Mataifa maskini yanayozongwa na mikopo. Hivi majirani hizi hela mlizifanyia nini cha kuonekana?

Huko ambako hawakukutwa na misiba kwasababu walitumia sayansi wakaachana na maombi ni wapi? Kabla ya corona hapakua na vifo? Jenga hoja acha viroja.
 
Kwa hili mtuache na nchi yetu. Huu ugomvi hauwahusu hata sisi hujatuona tunaingilia mnyukano wa Uhuru na Ruto maana tunajua mtajuana wenyewe.
 
All I can say to our neighbor is "Nyani haoni kundule". If he fails to understand that then "Nyani huchekana ngoko". Should I add more?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…