Mataifa ya Afrika ambayo yatakuwa na uwakilishi wa vilabu vinne kwa msimu wa 2022/23 michuano ya CAF

Mataifa ya Afrika ambayo yatakuwa na uwakilishi wa vilabu vinne kwa msimu wa 2022/23 michuano ya CAF

Timu dhaifu mashindano ya kimataifa huwa Zinapigwa nje ndani na kuishia hatua ya awali. Timu inayopelekea taifa kupeleka timu 4 ktk mashindano ya CAF siyo dhaifu.

Timu dhaifu ni ile ambayo ukiitafuta hata ktk 80 bora Afrika huwezi kuipata mfano utopolo
timu ambayo haiwezi kuongoza kwenye table tangu ligi ana anza mpka ina isha ni dhaifu
 
Mimi ni Yanga lia lia lakini nashangaa kwa nini kimataifa tunakuwa legelege kwa kuishia kupigwa kote kote! Yaani tukienda mbele tunapigwa tukibaki nyumbani tunabamizwa!
 
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetangaza nchi 12 ambazo zitatoa timu nne kuwakilisha katika mashindano ya Klabu Bingwa na Shirikisho.

• Algeria 🇩🇿
• Angola 🇦🇴
• Congo DR 🇨🇩
• Egypt 🇪🇬
• Guinea 🇬🇳
• Libya 🇱🇾
• Morocco 🇲🇦
• Nigeria 🇳🇬
• South Africa 🇿🇦
• Sudan 🇸🇩
• Tanzania 🇹🇿
• Tunisia 🇹🇳
Senegal, Cameroon na Ghana hazipo kwenye orodha, japo mmoja wapo ndio bingwa wa Africa na hizo nchi zitashiriki kombe la Dunia huko Qatar.

Soko letu la Africa ngazi ya vilabu bado lipo kwenye ukuaji.

OKW BOBAN SUNZU Scars Ghazwat
Tate Mkuu
 
Senegal, Cameroon na Ghana hazipo kwenye orodha, japo mmoja wapo ndio bingwa wa Africa na hizo nchi zitashiriki kombe la Dunia huko Qatar.

Soko letu la Africa ngazi ya vilabu bado lipo kwenye ukuaji.

OKW BOBAN SUNZU Scars Ghazwat
Tate Mkuu
Mkuu hizo team tegemeo lake kubwa timu ya taifa ni wachezaji wanaocheza timu za Ulaya tofauti na huo mrundikano wa waarabu ambao wachezaji wao wengi wanacheza ndani na kuzipandisha clubs za ndani
 
Waarabu wote wanawaklishwa na timu 4 kila mmoja. Hawa jamaa wanatutesa sana kwa kweli.
 
Sjui yanga huwa wapoje huwa hawatamani kucheza kabisa na simba,wakiwa na mechi na simba watatafuta visingizio mpaka basi ni sheria tu lakin wanataman wawe wanacheza ligi bila kukutana na simba,ushindani na simba hawataki kabisa

Eti hadi nani zaidi nayo wamejitoa yaani kama mademu vile kususa susa ndo tabia yao,kule zanzibar waliwahi kutoonekana uwanjani,hapo mkapa napo walishafanya ujinga yaan haya majinga yanadidimiza sana huu mpira na hayataweza ileta hii heshima
Hivi unaiongelea Yanga ipi hiyo!! Hii hii iliyowafunga juzi kwenye nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam, au!

Yanga hii hii iliyowafunga kwenye Ngao ya Jamii msimu huu! Mkaja kushangilia sare mbili mechi za ligi kuu, au!!

Mweh! Rage umewafanya nini hawa ndugu zako! 🤔
 
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetangaza nchi 12 ambazo zitatoa timu nne kuwakilisha katika mashindano ya Klabu Bingwa na Shirikisho.

• Algeria 🇩🇿
• Angola 🇦🇴
• Congo DR 🇨🇩
• Egypt 🇪🇬
• Guinea 🇬🇳
• Libya 🇱🇾
• Morocco 🇲🇦
• Nigeria 🇳🇬
• South Africa 🇿🇦
• Sudan 🇸🇩
Tanzania 🇹🇿
• Tunisia 🇹🇳 .

Sharti ni kwamba Simba SC ndiyo itachagua Timu za Kumsindikiza Kumuwakilisha na tayari tumeshazichagua kuwa ni Azam FC, Namungo FC na Geita Gold FC na wale mliobakia mnaweza ttu mkazungumza na Wachezaji wenu Wanamuziki wawaalike Kwao mkacheze Ndombolo na akina Koffi Olomide, Fally Ipupa na Ferre Gola sawa?
Popoma katika ubora wake! Unajimwambafai na hiyo timu yako itakayo shiriki mashindano kupitia Viti maalum! Maana ubingwa wa ligi kuu umechukuliwa na Yanga, Kombe la Shirikisho nalo Insha Allah! Linakwenda Jangwani!

Sasa nyinyi mtashiriki kama nani? Mshindi wa pili wa ligi kuu? Mmeshinda nini msimu huu? Kombe la Mapinduzi! Kombe la robo fainali!! Kwa taarifa yenu, Bingwa ni mmoja tu! Wananchi Yanga! 🏆🥇🥇🥇
 
Hivi unaiongelea Yanga ipi hiyo!! Hii hii iliyowafunga juzi kwenye nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam, au!

Yanga hii hii iliyowafunga kwenye Ngao ya Jamii msimu huu! Mkaja kushangilia sare mbili mechi za ligi kuu, au!!

Mweh! Rage umewafanya nini hawa ndugu zako! 🤔
Ni msimu huu tu ndo kidogo ndo imejikakamua kucheza na simba lakin pamoja na hayo nani zaidi wamekimbia
 
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetangaza nchi 12 ambazo zitatoa timu nne kuwakilisha katika mashindano ya Klabu Bingwa na Shirikisho.

• Algeria 🇩🇿
• Angola 🇦🇴
• Congo DR 🇨🇩
• Egypt 🇪🇬
• Guinea 🇬🇳
• Libya 🇱🇾
• Morocco 🇲🇦
• Nigeria 🇳🇬
• South Africa 🇿🇦
• Sudan 🇸🇩
Tanzania 🇹🇿
• Tunisia 🇹🇳 .

Sharti ni kwamba Simba SC ndiyo itachagua Timu za Kumsindikiza Kumuwakilisha na tayari tumeshazichagua kuwa ni Azam FC, Namungo FC na Geita Gold FC na wale mliobakia mnaweza ttu mkazungumza na Wachezaji wenu Wanamuziki wawaalike Kwao mkacheze Ndombolo na akina Koffi Olomide, Fally Ipupa na Ferre Gola sawa?
Hao namungo uozo mtupu
 
Acha waje kindezi niwapopoe. Inabidi wajifunze kupokea ukweli hata kama ni mchungu.
Tatizo la simba hata Ismail Rage analijua,ni umbumbu kuanzia viongozi mpk washabiki.
1.kama mlisajiri vizuri wenzenu wanashindwaje?

2. Kam mlitumia uchawi,mlikoupata ni kwa shetani ambako wenzenu hawawezi kufika?

Simba ni upumbavu sana
 
Back
Top Bottom