Mataifa yanaunda Silaha za nuclear kwa kazi gani kama hawataki kuzitumia?

Mataifa yanaunda Silaha za nuclear kwa kazi gani kama hawataki kuzitumia?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Haya mataifa yaliyotengeneza silaha za nuclear walizitengeneza za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Wanakaa nazo kama mapambo tu?!

Huwa nasikia baadhi ya wachambuzi wa geopolitics wanasema Marekani/West isifanye hili au lile kwa sababu Russia, China au Korea Kaskazini itatumia silaha zake za nuclear ikiona uwepo kama taifa unatishiwa, sasa Marekani na hizo nchi za Ulaya zinamiliki silaha za nuclear za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Hayo si ni matumizi mabaya ya fedha!
 
Haya mataifa yaliyotengeneza silaha za nuclear walizitengeneza za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Wanakaa nazo kama mapambo tu?!

Huwa nasikia baadhi ya wachambuzi wa geopolitics wanasema Marekani/West isifanye hili au lile kwa sababu Russia, China au Korea Kaskazini itatumia silaha zake za nuclear ikiona uwepo kama taifa unatishiwa, sasa Marekani na hizo nchi za Ulaya zinamiliki silaha za nuclear za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Hayo si ni matumizi mabaya ya fedha!
Cold War
 
Haya mataifa yaliyotengeneza silaha za nuclear walizitengeneza za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Wanakaa nazo kama mapambo tu?!

Huwa nasikia baadhi ya wachambuzi wa geopolitics wanasema Marekani/West isifanye hili au lile kwa sababu Russia, China au Korea Kaskazini itatumia silaha zake za nuclear ikiona uwepo kama taifa unatishiwa, sasa Marekani na hizo nchi za Ulaya zinamiliki silaha za nuclear za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Hayo si ni matumizi mabaya ya fedha!

Labda kama unataka kucommit suicide hio ndio sawa na kuanzisha nuclear war hamna mshindi ni kuiangamiza dunia tu walio kwenye ugomvi wasiokuwepo wote . Naamini zinatengenezwa kwa maana ya kujihami ukishajua na wewe pia utapoteza basi hio vita haina maana tena .
 
Haya mataifa yaliyotengeneza silaha za nuclear walizitengeneza za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Wanakaa nazo kama mapambo tu?!

Huwa nasikia baadhi ya wachambuzi wa geopolitics wanasema Marekani/West isifanye hili au lile kwa sababu Russia, China au Korea Kaskazini itatumia silaha zake za nuclear ikiona uwepo kama taifa unatishiwa, sasa Marekani na hizo nchi za Ulaya zinamiliki silaha za nuclear za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Hayo si ni matumizi mabaya ya fedha!
Huwa nikitazama movies zinazohusiana na nuclear wars naona kabisa hii kitu itakuja kujitokeza huko mbeleni, dunia inaweza kweli kupotea, ikiwa hawa jamaa watakuwa provoked kiasi cha kuzitumia, kutakuwa no living things
 
Ukiweka mlinzi nyumbani kwako haimaanishi unataka wezi wakuvamie ili wauwawe! By the way, kuvamiwa na wezi ukiwa na mlinzi ni jambo usingependa kabisa litokee. That's the logic behind.
 
Huwa nikitazama movies zinazohusiana na nuclear wars naona kabisa hii kitu itakuja kujitokeza huko mbeleni, dunia inaweza kweli kupotea, ikiwa hawa jamaa watakuwa provoked kiasi cha kuzitumia, kutakuwa no living things
Hawa watu wamejipanga ukiangalia muvi nyingi utaona kutakuwa na underground bunkers au spaceship Kwaajili ya ku accommodate watu Ili waweze ku survive kipindi cha hayo majanga hizo bunkers/spaceship zitakuwa na uwezo wa kuprovide Kila kitu cha muhimu Kwa miaka na miaka mpaka pale madhara yatakapoisha
 
Hapa bongo unaweza miliki bastola mpaka unakufa usiitumie,
 
Kuna kitu kinaitwa LAVARAGE. Huwezi kuitwa kuzungumza mbele ya wakubwa kama hauna wanachokiogopa au huna wanachokitaka.

Kumiliki Silaha ya Nuclear lazima uogopwe hata kama ukiwa masikini.

Pakistani husikii wakiguswa na mtu, wala kusumbuliwa na yeyote, kwasababu wanajua wana nuclear war heads.

Siyo lazima uzitumie, kuwa nazo tu wanajua na wewe unaakili timamu, na watakuheshimu milele.
 
Hawa watu wamejipanga ukiangalia muvi nyingi utaona kutakuwa na underground bunkers au spaceship Kwaajili ya ku accommodate watu Ili waweze ku survive kipindi cha hayo majanga hizo bunkers/spaceship zitakuwa na uwezo wa kuprovide Kila kitu cha muhimu Kwa miaka na miaka mpaka pale madhara yatakapoisha
Ni imagination tu hizo, ila kiufupi ikitokea hivyo bora kufa kuliko kuishi baada ya nuclear apocalypse
 
Umewahi kusikia Hiroshima and Nagasaki? Hayo ndio ndio matumizi ya nuclear weapons. Kuna mstari ukivukwa tu silaha hii inatumika
 
Back
Top Bottom