Mataifa yenye Watu wenye Akili ndiyo huja na Mawazo yenye Akili kama haya

Mataifa yenye Watu wenye Akili ndiyo huja na Mawazo yenye Akili kama haya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
MEXICO CITY - Mexico imetangaza rasmi mabadiliko makubwa katika Mahakama ambapo pamoja na mambo mengine Majaji sasa watapatikana kwa kupigiwa kura tofauti na utaratibu wa awali wa kuteuliwa.

Chanzo: habarileo_tz

Ngoja sasa nifanye tu Mpango niende Kuishi nchini Mexico na nihame Taifa ambalo Majaji huchaguliwa kwa Kujuana.
 
Back
Top Bottom