Mataifa yenye Watu wenye Akili ndiyo huja na Mawazo yenye Akili kama haya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
MEXICO CITY - Mexico imetangaza rasmi mabadiliko makubwa katika Mahakama ambapo pamoja na mambo mengine Majaji sasa watapatikana kwa kupigiwa kura tofauti na utaratibu wa awali wa kuteuliwa.

Chanzo: habarileo_tz

Ngoja sasa nifanye tu Mpango niende Kuishi nchini Mexico na nihame Taifa ambalo Majaji huchaguliwa kwa Kujuana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…