- Thread starter
- #361
kwa bridgestone hatuna hizo size.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa bridgestone hatuna hizo size.
hizo pia hatuna mkuu. tatizo la kampuni ya bridgestone hawatengenezi size namba zote za tairi, wanatengeneza size namba ambazo ni common kwenye soko la matairi.Mkuu tairi size (235/55R18) inapatikana kwa Bei gani?
Shukranihizo pia hatuna mkuu. tatizo la kampuni ya bridgestone hawatengenezi size namba zote za tairi, wanatengeneza size namba ambazo ni common kwenye soko la matairi.
cheki kwa masupplier wa goodride, cheng shang na leo tyre ndio utapata size hio.
zipo 265/70R16. bei ni 400,000 kwa moja. hizi ni bridgestone. tunakufungia matairi na wheel alignment.
AHSANTE ;Habari wadau, tunauza matairi mapya ya magari aina ya bridgestone.
Bridgestone ni matairi imara na origino kutoka japan. Tunauza kwa bei inayoeleweka. Tunatoa warranti ya miaka mitano tu.
Mteja anatakiwa ajue size ya tairi anayotumia kabla hajauliza bei.
Wadau wa mikoani tunawasafirishia matairi (gharama utalipia)
Tunapatikana dar es salaam, ofisi ya tazara karibu na kiwanda cha sigara.
Piga simu - 0717518359, 0689866100.
Afsa mauzo. Quality motors ltd.
View attachment 355188
zipo mkuu. Kwa bridgestone bei ni 400,000 kwa moja. Ntakupa super discount ya 360,000 kama utanunua kwetu.
Ebu nipe ya 175/ 14 na 15BEI MPYA ZA MATAIRI YA BRIDGESTONE ZIMETOKA, NAZIANDAA NA KUILETA MUDA SI MREFU
Z
hizo hamna bosi
Bridgestone 215/70R6 zipo mkuu. bei ni 270,000 kwa moja.
Mtanzania utamjua tu! Anapenda kufanya distortion kwa mwenzie!SUMMIT NDIO TYRE PEKEE INAYO FAA AFRICA
ndio kawaida yaoMtanzania utamjua tu! Anapenda kufanya distortion kwa mwenzie!
Mbona gali sana kamanda?Z
ZIPO 175/65R14 au 175/70R14- 150,000.
KWA size 15 zipo 195/65R15 bei ni 180,000.
bosi hizo ni bridgestone super brand tena bei zake zimepunguzwa sio zile bei za zamani, kama utashindwa kachukue tairi za kichina.