Tetesi: Matajiri kuhama Bongo..

Tetesi: Matajiri kuhama Bongo..

Ni hakika hamjakula, na kama mmekula basi hamjashiba.

Ni taarifa kutoka ktk kijiwe kongwe kati ya jiji la Dar es salaam kwamba kutokana na sinto
fahamu ya kiuchumi ndani ya uchumi wa ndani na nje.

Jeuri ya decision makers,kila mtu kutafuta sifa aonekane ni mfanyaji kazi,pia mamlaka kujizidishia mamlaka na kuwa kero kwa wafanyi baashara;Zim jini lake haliko mbali..

TRA ni kero namba 1..hata kama una haki hakuna atakaye kusikiliza wanakusingizia mchana kweupe ulipe kitu ambacho si stahili yao...na pia hawana muda wa kusikiliza kilio chako,tena kwa sasa wamepewa fursa ya kuchukua rushwa pasi na hofu na mifano ippo wazi.utalipa mil 20 manake tumekupunguzia toka mil.80....lakini kimsingi unatakiwa kulipa mil7.matha fantaaa.

Mangi anafungasha...tena kwa sasa hayupo Bongo....Mpemba nae hayupo bongo kesha fungasha kitambo ila machine zanguruma kumalizia material na msimu...kina mangi haooo nchumbiji.

wakinga wanaenda kwa papaa.

Uchunguu.
Wahame tubaki na nchi yetu ya walala hoi tulipao kodi.
 
umesoma mpaka darasa la ngapi?am sorry ila am doupting na uwezo wako wakufikili?unageneralize,thats no good way of reasoning,haya wewe unafanya biashara gani?naniambie sera ya nchi kuhusiana na hicho unachokifanya?
wafanyabiashara wengi hasa hawa wadogo wengi hawafanyi biashara kwa nidhamu, nidhamu ndio kila kitu kwenye kazi....kama una bisha wewe ndio una tatizo
 
niliposhuhudia Bakharesa anashushia mizigo yake Beira na Mombasa na baadae ile anayotaka kuileta Tanzania anaipitishia Tunduma na Holili na baada ya kulipa kodi anasema kuna unafuu nikajua TANZANIA yangu imeingia chaka
 
Maneno ya ule wimbo yanajirudia rudia masikioni mwa wengi.

Naomba tujikumbushe japo kiitikio

Wacha waisome namba eeeeee.....
 
img-20161117-wa0078-jpg.435642

Mwenye macho ha ambiwi.............................
 
Back
Top Bottom