Matajiri kumi Tanzania ni hawa

Matajiri kumi Tanzania ni hawa

Mkuu nafikiri mawazo kama haya ndio yanafanya sisi watanzania wenye asili ya Kiafrika tujiulize na tutafakari wapi tumekosea,nchi yetu utajiri wete lakini matajiri wanakwa wageni,,,

Sina ubaya kwa watanzania wenye na asili isyokuwa ya kiafrika kuwa matajiri na kutajirika na rasilimali zilizokuwepo nchini...lakini kila siku huwa najiuliza kosa liko wapi kiasi mambcho wenzetu wanatuacha kiasi hiki,tukilijua kosa ndio tunaweza kuwa sambamba nao .....

naunga mkono hoja 🙂

Kosa kubwa la kwanza ni kutokuwa na utamaduni wa kufanya biashara.Idadi kubwa inapenda kutafuta ajira na akiipata basi yeye anaridhika.Wapo watu wenye vipato vikubwa lakini hawataki kabisa kuwekeza wenzetu wao wamejikita kwenye biashara na ndo zinawafanya wawe matajiri.

Wachaga ni mfano mzuri sana wamejikita kwenye biashara angalia jinsi walivyofanikiwa sana.
Hawa wa-asia walipokonywa mali zao nyingi tu wakati wa Nyerere lakini walijipanga upya wakajikita kwenye biashara na sasa ni matajiri tena.

Huu sio wakati wa kujilaumu ni wakati wa kuanza kujifunza matajiri wanafanyaje mpaka wanafika hapo na siri kubwa ni hiyo.
Lazima tuwe na utamaduni wa kuwekeza na kufanya biashara ndo tutakuwa na pesa mingi tuking'ang'ania miajira tutabaki kuwa watumwa kwenye nchi yetu wenyewe.
 
Asante mzee lakini nafikiri umekosea kidogo Mohamed Dewji hakutajwa kuwa tajiri mwenye pesa nyingi barani Afrika bali ametajwa kuwa jeje ni tajiri kijana katika bara la Afrika

Ndo nilichomaanisha nimesema kijana na sio mtu mwenye pesa mingi barani Afrika.
 
hawa ni matajiri kumi tanzania, kutokana na survey ya bongoland wanane ni watanzania wenye imani ya kislam wenye asili ya kiasia, wawili tu ndio wakristo na hao ndio wenye asili ya kiafrika...,kwanini watanzania wenye asili ya kiafrika wako kidogo katika kumiliki utajiri wa tanzania...


mo dewji ndio wa kwanza tanzania,
 
Hawa ni Matajiri kumi Tanzania, kutokana na survey ya Bongoland wanane ni watanzania wenye imani ya kislam wenye asili ya kiasia, wawili tu ndio wakristo na hao ndio wenye asili ya Kiafrika...,Kwanini watanzania wenye asili ya Kiafrika wako kidogo katika kumiliki utajiri wa Tanzania...


  • (1500)Mohammed Dewji

    Follow (8)
  • Real Time Net Worth As of 4/20/15
  • $1.25 Billion
Age39Source Of WealthdiversifiedResidenceDar es Salaam, TanzaniaCitizenshipTanzaniaMarital StatusMarrie






  • 1741 Rostam Azizi

    Follow (15)
  • Real Time Net Worth As of 4/20/15
  • $1 Billion
Age50Source Of Wealthtelecom, investments, Self MadeResidenceDar es Salaam, TanzaniaCitizenshipTanzania








SOURCE FORBEShttp://www.forbes.com/profile/rostam-azizi/
 
Dewj hampati Rostam hampati hata Bakhresa.......

  • (1500)Mohammed Dewji

    Follow (8)
  • Real Time Net Worth As of 4/20/15
  • $1.25 Billion
Age39Source Of WealthdiversifiedResidenceDar es Salaam, TanzaniaCitizenshipTanzaniaMarital StatusMarrie






  • 1741 Rostam Azizi

    Follow (15)
  • Real Time Net Worth As of 4/20/15
  • $1 Billion
Age50Source Of Wealthtelecom, investments, Self MadeResidenceDar es Salaam, TanzaniaCitizenshipTanzania


Rostam Azizi - Forbes
 
Back
Top Bottom