Elon Musk Jana amenipa hasira Sana ,yani kumbe sio wakina Diamond tu ,mo nawengine wengi kumbe mpaka majuu aisee punguzeni dozi hii matajiri mtatuua na mawazo
Hilo dongo kapigwa nani? tajiri kumiliki kampuni ya mtandao na wewe unaweza kujikuta unashinda mtandaoni unapiga ngenga na sisi akina pangu pakavu.....