Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

Tupo masaki tunatembelea makalio tunapush ndinga za maana bank acc. Zinasoma digit 6 $ japo kuna vipigo vya mbwa koko sometimes sa hivi ningalikuwa Dubai vacation imekata shauri ya haka kaugonjwa.
 
hahahaha nantombeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mpaka sasa nimepigwa loss ya laki nne toka mwaka Jana December ila siiachi hii kitu wakubwa
Ulivyosema mpaka sasa ..nikajua umepigwa loss ya kufa mtu kumbe ki laki nne tu?? Pambana bado sana.
 
Boss umesema kweli kabisa.
 
Ungekua unawauliza FOREX TRADERS wote ningekujibu vizuri kabisa ILA kwa sababu unawauliza wale walio fundishwa na unaye muita ONTARIO basi sina cha kukujibu.
Mkuu, Fanya Tuplan Meeting
 
Unamfuatilia sana uyo jamaa Mkuu.
Nimfatilie ili iweje?
Nimem follow naangalia anavowapeleka chaka ili nipate cha kuwasimulia

Vipi umeshafanikiwa kuanzisha mradi wako wa kufuga kuku na kupata watu wakukupa pesa ya kuendeshea mradi?
 
Nimfatilie ili iweje?
Nimem follow naangalia anavowapeleka chaka ili nipate cha kuwasimulia

Vipi umeshafanikiwa kuanzisha mradi wako wa kufuga kuku na kupata watu wakukupa pesa ya kuendeshea mradi?
Mkuu pride haijawai kuwa na faida zaidi ya moyo...fanya kile unachopenda bila kuangalia watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…