Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

Tupo masaki tunatembelea makalio tunapush ndinga za maana bank acc. Zinasoma digit 6 $ japo kuna vipigo vya mbwa koko sometimes sa hivi ningalikuwa Dubai vacation imekata shauri ya haka kaugonjwa.
 
Haters... fainali uzeeni. Tatizo watanzania mnachukia sana maendeleo.

Mi kuna Forum za majuu huko yaani namna wanavoapproach mambo ni tofauti kabisa na huku. Hususani kwenye hii issue ya Forex yaani its different.

Mtu mwenyewe aneyekebehi watu na kuwananga wanaojitahidi kuifahamu Forex, unakuta 24/7 yupo kwenye social media hafanyi cha maana halafu mtu huyu huyu anajeuka kuwa haters kwa wenzake wanaokakamaa kwenye financial markets.

Hizi negativity hazitakufikisheni mahali.. Endeleeni na uchawi wenu. Ila jua kwamba somebody somewhere is making a life from financial markets. Period
hahahaha nantombeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mpaka sasa nimepigwa loss ya laki nne toka mwaka Jana December ila siiachi hii kitu wakubwa
Ulivyosema mpaka sasa ..nikajua umepigwa loss ya kufa mtu kumbe ki laki nne tu?? Pambana bado sana.
 
Haters... fainali uzeeni. Tatizo watanzania mnachukia sana maendeleo.

Mi kuna Forum za majuu huko yaani namna wanavoapproach mambo ni tofauti kabisa na huku. Hususani kwenye hii issue ya Forex yaani its different.

Mtu mwenyewe aneyekebehi watu na kuwananga wanaojitahidi kuifahamu Forex, unakuta 24/7 yupo kwenye social media hafanyi cha maana halafu mtu huyu huyu anajeuka kuwa haters kwa wenzake wanaokakamaa kwenye financial markets.

Hizi negativity hazitakufikisheni mahali.. Endeleeni na uchawi wenu. Ila jua kwamba somebody somewhere is making a life from financial markets. Period
Boss umesema kweli kabisa.
 
Ungekua unawauliza FOREX TRADERS wote ningekujibu vizuri kabisa ILA kwa sababu unawauliza wale walio fundishwa na unaye muita ONTARIO basi sina cha kukujibu.
Mkuu, Fanya Tuplan Meeting
 
Unamfuatilia sana uyo jamaa Mkuu.
Nimfatilie ili iweje?
Nimem follow naangalia anavowapeleka chaka ili nipate cha kuwasimulia

Vipi umeshafanikiwa kuanzisha mradi wako wa kufuga kuku na kupata watu wakukupa pesa ya kuendeshea mradi?
 
Nimfatilie ili iweje?
Nimem follow naangalia anavowapeleka chaka ili nipate cha kuwasimulia

Vipi umeshafanikiwa kuanzisha mradi wako wa kufuga kuku na kupata watu wakukupa pesa ya kuendeshea mradi?
Mkuu pride haijawai kuwa na faida zaidi ya moyo...fanya kile unachopenda bila kuangalia watu.
 
Mkuu pride haijawai kuwa na faida zaidi ya moyo...fanya kile unachopenda bila kuangalia watu.
Hakika mkuu
Screenshot_20200813-220757.jpg
 
Back
Top Bottom