monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
[emoji23][emoji23][emoji23]usijaribu kubishana na huyu dogoohoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]usijaribu kubishana na huyu dogoohoo
Ni nani huyo ??
Unayo picha yake.
Huyo simfuatilii sana kama ninavomfuatilia ontarioUnayo picha yake.
Huyo jamaa tapeli sana mwanangu.Huyo simfuatilii sana kama ninavomfuatilia ontario
saaana ila hawezi kumzidi jamaa anaitwa sivanHuyo jamaa tapeli sana mwanangu.
Kwanini Mkuu.saaana ila hawezi kumzidi jamaa anaitwa sivan
WasalimieKwanini Mkuu.
Mkuu ile mada ndio yamesababisha yote hayaa mbona wewe rafiki yangu.Wasalimie View attachment 1536413
Kwani tatizo liko wapi mkuuMkuu ile mada ndio yamesababisha yote hayaa mbona wewe rafiki yangu.
Kwani tatizo liko wapi mkuu
Maisha lazima yaendelee
Tafta pesa lipa madeni acha ujanja ujanjaTuongelee mademu mzee.
Una miaka mingapi faza.Tafta pesa lipa madeni acha ujanja ujanja
Mimi umri wa kula tunda kimasikhara ushapita
12Una miaka mingapi faza.
sawa ngoja niingie lodge Mkuu.
binary wenyewe wananitambus, niliwabamiza kwenye vix 100. Nilipandisha account mara 370Kama huelewi achananayo maana utapigwa vibaya mnoo.
Mkuu nakusalimu tu,Ungekua unawauliza FOREX TRADERS wote ningekujibu vizuri kabisa ILA kwa sababu unawauliza wale walio fundishwa na unaye muita ONTARIO basi sina cha kukujibu.
Na kwa hali ilivyo naamini hii ndio itakuwa loss yangu ya mwishoUlivyosema mpaka sasa ..nikajua umepigwa loss ya kufa mtu kumbe ki laki nne tu?? Pambana bado sana.