Huku kwetu ni majanga tunalindwa na Mungu, walivyo tangaza visa 480 kweli watu wakaanza kunawa mikono kila sehemu na kuvaa barakoa, walivyoacha kutangaza, wameacha kabisa hata kuvaa hawavai na kunawa mikono wameacha. Wanasema corona imeisha.kuna umakini sana mkuu usidhani kuna mrundikano wa kiholela
Huku kwetu Tz sukari hakuna plus corona anakuwinda plus ugumu wa maisha kuna mda hata kirus kitakuwa kinajiuliza kwann nimekuja huku
Sent using Jamii Forums mobile app
si bado wanachunguza vipimo nasikia then wanaendelea ama?Huku kwetu ni majanga tunalindwa na Mungu, walivyo tangaza visa 480 kweli watu wakaanza kunawa mikono kila sehemu na kuvaa barakoa, walivyoacha kutangaza, wameacha kabisa hata kuvaa hawavai na kunawa mikono wameacha. Wanasema corona imeisha.
Wengi wanasema bombardier yetu imefata dawa Madagascar hawawezi jitesa na na barakoa. Bongo ni vituko tupu.
Yeah wamesema hivyo. Shida wananchi wamejiachia sanasi bado wanachunguza vipimo nasikia then wanaendelea ama?
Kwahiyo Geneva hamna masikini, unakuwaje masikini wakati unapesa (regardless hata kama umepewa), sivyo?mkuu sio hivo masikini ambao ni raia wa huku wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ili kujikimu kabla hata ya janga hili la corona hiyo ni sera yao, hawana mda na vyakula hivi vya bure wao wananunua wenyewe labda tu serikali ije na mpango wa kuwaongezea malipo na kumbuka huku hakuna uhaba wa chakula lakini ni gharama zilikuwa ghali kwa mtu wa kuwaida
ndugu huyo ni mfuasi wa buku saba za lumumba mtabishana sana, yeye anachotaka kusikia ni yale yanayoendana na magufuli anayofanya huku bila hivo mtakesha hapa nakushauri achana nae mpuuziemkuu unaelewa ninachozungumza laikini, au ni nini hasa point yako maana naona tuna rudia rudia tu
Ujue kuna kipindi kuitwa boss jau sana.kwenye pesa hapa ndio kuna vigezo mkuu, wanaangaliwa haswa wale vibarua waliokuwa wanalipwa kwa saa ambao kazi zao zimeathirika na hii corona
πππhapana mkuu mbona wanalipa vizuri sana wala hawana shida na hivi vitu vidogoUjue kuna kipindi kuitwa boss jau sana.
Haki ukute hapo mkurugenzi hali tia maji tia maji anatamani na yeye angekuwa kibarua akapata hizo shekeli.
mama wawili
Mbona swali rahisi sana?mkuu unaelewa ninachozungumza laikini, au ni nini hasa point yako maana naona tuna rudia rudia tu
Uzembe na kutojalisasa si itakuwa ni uzembe wenu mkuu, au sijakuelewa vizuri?
Nashangaa unajaribu kumwelewesha mtu aliyekabizi akili yake kwa polepole pale lumumba.mkuu unaelewa ninachozungumza laikini, au ni nini hasa point yako maana naona tuna rudia rudia tu