FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mbona kama unajing’ata halafu unalia mwenyewe, kwani we ni taahira? swali lilikuwa rahisi, sasa unatakaje kuukimbia uzi wako mwenyewe?huu mjadala tuufunge mkuu maana kuna member hapo ameshaning'ata sikio kuhusu wewe
nilikuwa sijui mkuu nimeshaachaNashangaa unajaribu kumwelewesha mtu aliyekabizi akili yake kwa polepole pale lumumba.
Huu ni msukule, unaendeshwa na rimoti ya buku saba FRANCIS DA DON
Walimu wanakazi kubwa sana.kichwa kama hiki hata ukipige vipi hakielewi,ngoma nzito hiyo achananae siyo lazima yeye kuelewa.😀😀wewe jamaa, hujawahi kufundishwa ustaarabu
Anzisha uzi wako unaotaja wazawa kupewa msaada. Unampangia mtu aseme nini.Ooh, kumbe masikini ambao sio wahamiaji walishapanga foleni yao kuwezeshwa kabla ya wahamiaji, sasa si ungeleta na uzi wa foleni waliopanga masikini ambao sio wahamiaji kupokea chakula? Ili kubalance story
Siwalaumu wananchi kama mkuu wa nchi ametangaza corona ipo kwenye mapapai na nyama ya mbuzi.Huku kwetu ni majanga tunalindwa na Mungu, walivyo tangaza visa 480 kweli watu wakaanza kunawa mikono kila sehemu na kuvaa barakoa, walivyoacha kutangaza, wameacha kabisa hata kuvaa hawavai na kunawa mikono wameacha. Wanasema corona imeisha.
Wengi wanasema bombardier yetu imefata dawa Madagascar hawawezi jitesa na na barakoa. Bongo ni vituko tupu.
Kweli hiyo ni dunia ya kwanza.Huulizwi na wala hamna vigezo wao wamesema kama huna uhakika wa kupata msosi nenda kachukue ,wewe ukifika tu unapewa hakuna cha kuuliza unajishughulisha na nini
Usinipangie wa kumpangia, na wewe tafuta wako umpangieAnzisha uzi wako unaotaja wazawa kupewa msaada. Unampangia mtu aseme nini.
[emoji3][emoji3][emoji3] sisi tunasubiria bombardier ije kufanya mandingo.Huku kwetu ni majanga tunalindwa na Mungu, walivyo tangaza visa 480 kweli watu wakaanza kunawa mikono kila sehemu na kuvaa barakoa, walivyoacha kutangaza, wameacha kabisa hata kuvaa hawavai na kunawa mikono wameacha. Wanasema corona imeisha.
Wengi wanasema bombardier yetu imefata dawa Madagascar hawawezi jitesa na na barakoa. Bongo ni vituko tupu.
mkuu si ilisharudi na dawa ama?[emoji3][emoji3][emoji3] sisi tunasubiria bombardier ije kufanya mandingo.
Sent using Jamii Forums mobile app
dawa ipo kwenye maharibio tulia utapata[emoji3][emoji3][emoji3] sisi tunasubiria bombardier ije kufanya mandingo.
Sent using Jamii Forums mobile app
bei elekezi kivipi mkuu?
haiwezi kuwa serious hii? wewe jamaa unazingua ujueMuuza duka kanunua sukari kilo moja shilingi 3,200.
Alafu unamwambia auze kwa 2,700.
Sent using Jamii Forums mobile app