Matajiri wakubwa Tanzania si wafanyabiashara bali ni wanasiasa, viongozi wa serikali na ndugu zao, kuonyesha kwamba kuna kitu hakipo sawa

Matajiri wakubwa Tanzania si wafanyabiashara bali ni wanasiasa, viongozi wa serikali na ndugu zao, kuonyesha kwamba kuna kitu hakipo sawa

Well said Mkuu

Naanza kuhisi huo mfumo umekuwa so strong kiasi kwamba hata raisi akiwa na nia ya kuuvunja anaweza kupata matatizo yeye - kiasi kwamba anakuwa na option moja tu - to join them. Ni lazima kwamba huo mfumo kwa sasa unafanya kazi kama kaji-association, kaji-mafia ka viongozi wa serikali na wale waliokuwa serikalini huko nyuma, na nimesema katika thread nyingine, inawezekana kabisa ndio walio nyuma ya utekaji na uuaji, wakifanya hivyo sio kama serikali, bali kwa kutumia vyombo vya serikali isivyo rasmi. Nasikia hata wana mtandao wao wa WhatsApp.

Ndio maana tetesi kwamba Magufuli alihujumiwa na kuuawa zinakuwa na mshiko, kwamba alijaribu kuuvunja huo mfumo na akazidiwa. Mtandao kama huo kama ni kweli, sioni mtu kama raisi Samia akiwa na uwezo wa kuuvunja. It is too big for her.
Mafioso cartel
 
Unamtabuaje mtu kuwa ni tajiri? Kwamba ana jenga nyumba kubwa, ana magari ishirini ya kifahari nk? Sasa Tanzania kuna matajiri sana assets zao zikiwa Dubai na kwingineko. Watu wana ma-block ya etstes huko nje. Na pia unaambiwa umekuwa mtindo kwa viongozi wa serikali sasa kuwa na chumba cha hela kwenye nyumba zao, stack and stacks of Tshs and US dollars, kwa sababu hawawezi kuziweka benki
Wengine wanafungiaga kwenye containers 🤣 zilizoku uwani mwa majengo yao.
 
Back
Top Bottom