Matamanio ya mwili

Mmeniacha mbali kweli sielewi nini kinaendelea hapa leo
 
Ningeshangaa usingenipiga miswali yako.

Wenzangu wana dada lakini mi nna zaidi ya dada. Mnoko kila idara lol

na ndio dada yako mie uliejaliwa, sasa cjui utanifanyaje na nina mpango wa kukuzidishia unoko.
 
Ubaya ni kwamba unaweza kupata alafu matamanio yakahamia kwa vimbau mbau lol

mnaridhikaga nyie basi? Taaaaaabu tupu, kazi kufunuafunua kila kyupi. Akili kumkichwa wadada
 
Hehe! Kweli hi kitu yapatikana wapi?
 
Sasa 2my hiyo avatar yako unaniruhusu nianzishe sredi ya "Matamanio ya mwanaume kitandani?"

Ni ombi tu waweza kubali au kataa.... I have fallen in love with it...damn! nazeeka vibaya asee!


isee nimecheka mpaka machozi yanatoka.
Habari yake babuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
duh huko nyuma kajaza kweli kweli
hakika angenikama hapo
 

Lulu!, usijiumize dada, kama wanipenda nipasulie waziiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!, Achana na hayo maaadili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…