Mi nadhani huyu dogo ana zaidi ya malaria....
hiviiiiiiiiiiiiii!unajua nasubiri jibu lako?
Ningeshangaa usingenipiga miswali yako.
Wenzangu wana dada lakini mi nna zaidi ya dada. Mnoko kila idara lol
na ndio dada yako mie uliejaliwa, sasa cjui utanifanyaje na nina mpango wa kukuzidishia unoko.
Sure sure...subiri kiduchu!
Mfukuza upepo/marathon m.10,000
Ubaya ni kwamba unaweza kupata alafu matamanio yakahamia kwa vimbau mbau lol
halafu we dogo..........mnaridhikaga nyie basi? Taaaaaabu tupu, kazi kufunuafunua kila kyupi. Akili kumkichwa wadada
sura si unamfunika na mto.bwa ha ha ha ha hata sura kaificha.....mkuu fidel inakuwaje watuogopesha na kitu hiki?
miguuu kama ya nsajigwa.
Mmeniacha mbali kweli sielewi nini kinaendelea hapa leo
Sasa 2my hiyo avatar yako unaniruhusu nianzishe sredi ya "Matamanio ya mwanaume kitandani?"
Ni ombi tu waweza kubali au kataa.... I have fallen in love with it...damn! nazeeka vibaya asee!
nadhani kutamani ni kwa kila mtu!sema tu inategemea unajizuia vpi,tusiongelee uwingi lkn mm kama mdada pia natamani,unaweza kumtamani mtu kwa muonekano wake,utanashat wake,uongeaji wake,uelewa wake,mali zake alizonazo,tabasam lake,uchafu wake,upole wake etc lakini maadili yangu hayaniruhusu kumwambia langu la moyoni labda nikivuka mipaka sana ntamwambia kaka umependeza lkn siwezi kusema kaka nakupenda,sasa mtu kama huyu akinitokea tu atapata chenga ndogo tu labda mwezi maana tayari na mm nina nterest zangu kwakwe.
Hilo fulushi mtoto si anakaa kabisa hapo?