Matamasha yote yangekua na kiingilio rahisi na bure,watanzania tungeongoza kuwa taifa lenye furaha zaidi duniani

Matamasha yote yangekua na kiingilio rahisi na bure,watanzania tungeongoza kuwa taifa lenye furaha zaidi duniani

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Kama mnavyojua utafiti unaonyesha Watanzania wengi hawana furaha ya kuishi,basi na ifike mahali waandaaji wa matamasha waige mfano wa clouds,kwamba kuna watu wanauhitaji sana wa kuwaona wasanii wao na kuburudika but tatizo kipato,so inapofika mahali bei ikawa rafiki watu watahudhuria,na inapofikia stage wakaruhusiwa kuingia bure kabisaaa yani fungulia mbwa basi ndo nyomi litaitika mara dufu,Asante clouds mmeonyesha njia ya kiingilio cheap inawezekana na kuingia bure inaruhusiwa pia,hope wengine wataiga na hii.
Screenshot_20191209-071647.png
 
Furaha ya wananchi haiwezi kuletwa na matamasha ya muziki
Mtanzania wa kawaida akiweza kumudu milo mitatu kwa siku, makazi bora na huduma nzuri za Elimu pamoja na afya vitu kama matamasha ya muziki vinakua extra katika kumuongezea furaha
 
Fiesta mikoani bei3000 Dar ndo ilikuaga inakua juu kidogo kabla hata ya hao wasafi wako kufika mjini mmeumbuka nyie team wasafi mlidhani watu hawatajaaa kumbe watu tumeanza kwenda kwenye fiesta kabla ya hao mnaowashobokea hawajafika mjini na kwa taarifa yako na waanafiki wenzio siku zote mjini akili na kumzidi ujanja mpinzani wako Tu elf3 waiona ndogo lakini wakiingia watu elf40 wakalipa hyo piga mahesabu na huyo aloweka elf 10 wakaingia watu 2elf10 utajua tofauti ya Tinga tinga na vitz!
Kingine mambo ya koplimentary hajaanza Jana wala juzi toka enzi mbona watu wanaingia bure Ni vitu vidogo sanaa hvyoo!!

BTW wamachinga hatunaga roho ya husdaa we itakua mmakonde wa mitipweshii!!!
 
Fiesta mikoani bei3000 Dar ndo ilikuaga inakua juu kidogo kabla hata ya hao wasafi wako kufika mjini mmeumbuka nyie team wasafi mlidhani watu hawatajaaa kumbe watu tumeanza kwenda kwenye fiesta kabla ya hao mnaowashobokea hawajafika mjini na kwa taarifa yako na waanafiki wenzio siku zote mjini akili na kumzidi ujanja mpinzani wako Tu elf3 waiona ndogo lakini wakiingia watu elf40 wakalipa hyo piga mahesabu na huyo aloweka elf 10 wakaingia watu 2elf10 utajua tofauti ya Tinga tinga na vitz!
Kingine mambo ya koplimentary hajaanza Jana wala juzi toka enzi mbona watu wanaingia bure Ni vitu vidogo sanaa hvyoo!!

BTW wamachinga hatunaga roho ya husdaa we itakua mmakonde wa mitipweshii!!!
Diamond nae katoka mkoani????
 
Fiesta mikoani bei3000 Dar ndo ilikuaga inakua juu kidogo kabla hata ya hao wasafi wako kufika mjini mmeumbuka nyie team wasafi mlidhani watu hawatajaaa kumbe watu tumeanza kwenda kwenye fiesta kabla ya hao mnaowashobokea hawajafika mjini na kwa taarifa yako na waanafiki wenzio siku zote mjini akili na kumzidi ujanja mpinzani wako Tu elf3 waiona ndogo lakini wakiingia watu elf40 wakalipa hyo piga mahesabu na huyo aloweka elf 10 wakaingia watu 2elf10 utajua tofauti ya Tinga tinga na vitz!
Kingine mambo ya koplimentary hajaanza Jana wala juzi toka enzi mbona watu wanaingia bure Ni vitu vidogo sanaa hvyoo!!

BTW wamachinga hatunaga roho ya husdaa we itakua mmakonde wa mitipweshii!!!
Kiingilio ni bure vip watu wasijae ? mlitakiwa mbomoe ukuta ule kwa wingi wa watu sio kujaza tu
 
Kama mnavyojua utafiti unaonyesha Watanzania wengi hawana furaha ya kuishi,basi na ifike mahali waandaaji wa matamasha waige mfano wa clouds,kwamba kuna watu wanauhitaji sana wa kuwaona wasanii wao na kuburudika but tatizo kipato,so inapofika mahali bei ikawa rafiki watu watahudhuria,na inapofikia stage wakaruhusiwa kuingia bure kabisaaa yani fungulia mbwa basi ndo nyomi litaitika mara dufu,Asante clouds mmeonyesha njia ya kiingilio cheap inawezekana na kuingia bure inaruhusiwa pia,hope wengine wataiga na hii.View attachment 1286047
Hii kweli kigodoro
 
Back
Top Bottom