Matamasha yote yangekua na kiingilio rahisi na bure,watanzania tungeongoza kuwa taifa lenye furaha zaidi duniani

Matamasha yote yangekua na kiingilio rahisi na bure,watanzania tungeongoza kuwa taifa lenye furaha zaidi duniani

Tupe mrejesho mkuu, mana mtaani na Instagram kamba Sana
Kiukweli kuhusu kujaza uwanja ni uongo na kwa uwingi ule ni mdogo kulinganisha na wasafi festival, kwenye Ku perform ndo ilikuwa zaidi ya ujinga, yani safari hii fiesta imezingua kinomaaa, wakubali kuwa wameshindwa wAjipange tu mwAkani.
 
Back
Top Bottom