dir good beatus
Member
- Jun 26, 2015
- 55
- 62
Waafrika wengi, tuna dhana ya kufikili kua matambiko ni uwovu na ushetani.
Lakini kimsingi hakuna dini ambayo haifanyi matambiko, haijalishi iwe dini mbaya au ni dini nzuri.
Waafrika wakifanya matambiko, inachukulia kama ushetani, kutokana na kazi kubwa kubwa iliyo fanywa na wamissionary ku kandamiza tamaduni za jamii walizo zivamia .
Kwenda kwenye ibada, ni kutambika, kutembea barabarani na ekaristi takatifu ni kutambika, kula mwili wa bwana ni kutambika.
Tofauti ya matambiko ya waafrika na matambiko ya dini za ki abrahamic (uislamu, na ukristu). dini za kiafrika zinatumia nature kwenye matambiko au ibada zao.
Lakini kimsingi hakuna dini ambayo haifanyi matambiko, haijalishi iwe dini mbaya au ni dini nzuri.
Waafrika wakifanya matambiko, inachukulia kama ushetani, kutokana na kazi kubwa kubwa iliyo fanywa na wamissionary ku kandamiza tamaduni za jamii walizo zivamia .
Kwenda kwenye ibada, ni kutambika, kutembea barabarani na ekaristi takatifu ni kutambika, kula mwili wa bwana ni kutambika.
Tofauti ya matambiko ya waafrika na matambiko ya dini za ki abrahamic (uislamu, na ukristu). dini za kiafrika zinatumia nature kwenye matambiko au ibada zao.
- Wanayama
- Mimea
- Majani
- Milima
- Maji
- Mawe
- Milima n.k