matamshi kiinglish tunayakosea kwa kurithishana

matamshi kiinglish tunayakosea kwa kurithishana

Singo

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,204
Reaction score
1,143
neno question - tunatamka kweshen badala ya kwes'chen
'' consumer - '' konshuma
badala ya konsyuma
'' producer - '' prodyuza badala ya prodyusa
'' assume - '' ashum
badala ya asum au asyum
'' every - '' evere " evri

hayo ni maneno machache katika mengi ambayo nimeshuhudia yakiendelea kukosewa siku hadi siku hadi na walimu wa lugha husika.Mimi nilikua mmoja wa waathirika tokana na aina ya shule nilizosoma ,japo namshukuru Mungu baada ya kufika A level nilisoma Kiingereza katika Combination yangu na kusoma topic ya phonology inayohusisha matamshi ya lugha na kanuni zake ndipo nikagundua nilipokua nakosea na wengine wengi wamekua wakikosea.

Mwenye uelewa wa maneno mengine ya english ambayo ameyasikia yakikosewa na wa Tz ni vyema ayaweke ili tuboreshe lugha kidogo kimatamshi angalau.
 
Birthday ni neno linalokosewa sana Tanzania. Wabongo hulitamka "bathdei".

Hiyo "a" haipo kwenye matamshi sahihi. Sasa sijui watu huwa wanaitoa wapi tu!
 
pia neno mfano English Course au Of Course inatakiwa hiyo Course itamkwe Kos- japo hiyo' o 'unaivuta kidogo sababu ni o ndefu kifonolojia .na siyo kutamka koz ukiwa na maana course
 
neno question - tunatamka kweshen badala ya kwes'shen
'' consumer - '' konshuma
badala ya konsyuma
'' producer - '' prodyuza badala ya prodyusa
'' assume - '' ashum
badala ya asum au asyum
'' every - '' evere " evri

hayo ni maneno machache katika mengi ambayo nimeshuhudia yakiendelea kukosewa siku hadi siku hadi na walimu wa lugha husika.Mimi nilikua mmoja wa waathirika tokana na aina ya shule nilizosoma ,japo namshukuru Mungu baada ya kufika A level nilisoma Kiingereza katika Combination yangu na kusoma topic ya phonology
inayohusiha matamshi ya lugha na kanuni zake ndipo nikagundua nilipokua nakosea na wengine wengi wamekua wakikosea.

Mwenye uelewa wa maneno mengine ya english ambayo ameyasikia yakikosewa na wa Tz ni vyema ayaweke ili tuboreshe lugha kidogo kimatamshi angalau.
Hapo kwenye red hilo neno huwa linakosewa sana waswahili....


Pia kuna wengine kwenye kuandika hutumia herufi tofauti kama xana badala ya Sana...

hivi nauliza neno Skuli ni kiswahili au kiingereza?

Kuna Mtangazaji ITV hutamka AiiiiiiiTiiiiiiiiiiiiiiiiii Viiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....

Schedule = Scedule = shedo
 
Mlaleo nashukuru kwa kunisahihisha indirectly
 
Jina Samuel, watu hutamka Samweli... matamshi sahihi ni Samyuel...
 
Birthday ni neno linalokosewa sana Tanzania. Wabongo hulitamka "bathdei".

Hiyo "a" haipo kwenye matamshi sahihi. Sasa sijui watu huwa wanaitoa wapi tu!

Wengi hulikosea neno hilo, haswa katika kale kawimbo maarufu ka siku ya kuzaliwa...ila katika matamshi ya kawaida, nadhani tatizo sio kubwa kihivyo kaka...
 
Birthday ni neno linalokosewa sana Tanzania. Wabongo hulitamka "bathdei".

Hiyo "a" haipo kwenye matamshi sahihi. Sasa sijui watu huwa wanaitoa wapi tu!

kingereza cha jiji la liverpool na cha london matamshi yao kwenye neno moja pia hutofautiana,sijui hapo tunaliweka vp suala hili
 
SKULI ni kizanzibar

Skuli ya Jang'ombe!

Hata Kenya kama sikosei

Sisi Wasabato Kuna wimbo wa Watoto Usemao

Ewe Skuli ya sabato.... upazuri sana....
Moyo wangu wanivuta nije kwako leo.....

nadhani si zanzibar peke yao hata Bara ila ni zamani sana neno skuli lilitumika
 
kingereza cha jiji la liverpool na cha london matamshi yao kwenye neno moja pia hutofautiana,sijui hapo tunaliweka vp suala hili

Liverpool wanaitamkaje "birthday" na London wanaitamkaje "birthday"?
 
kingereza cha jiji la liverpool na cha london matamshi yao kwenye neno moja pia hutofautiana,sijui hapo tunaliweka vp suala hili

leo hii mbongo ushuke LIVERPOOL toka tanzania,hata uwe prof wa english bongo,hauwezi sikia neno-it will take u a couple of days kuwaelewa hawa jamaa
 
Kwa mashabiki wenzangu wa mpira,,, neno possesion lina tofauti kubwa na position!! Ila ki boli boli mnaweza shikana mashati,Ee bwana eeh!tatizo ni boli position bwana,ukimwambia amekosea 90% wanakushangaa.
 
John Cena = John Sina

Refrigerator = Friji Kiswahili ni Jokofu au kichaga ni Kabati ya Mbeho

Fan = Feni

Chocolate = Chokulete au Chokileti chokleti
 
ukienda NEWCASTLE ndio kabisa at first you will think hawa jamaa wanaongea lugha ingine
 
Skuli ya Jang'ombe!

Hata Kenya kama sikosei

Sisi Wasabato Kuna wimbo wa Watoto Usemao

Ewe Skuli ya sabato.... upazuri sana....
Moyo wangu wanivuta nije kwako leo.....

nadhani si zanzibar peke yao hata Bara ila ni zamani sana neno skuli lilitumika

Sabatooooo ni nzuri sana sabato ni nzuriii... Sabato njema
 
Back
Top Bottom