AiseeMakamba kweli kalitifua.
Hana ulimi wa busara.
Lakini kimsingi kalinanga kundi ka Mwendazake.
Mimi simpendi wa sikumpenda sana Mwendazake lakini kumkebehi katika hadhira ya chama sikuona busara yake.
Siku nyingi nilishampiga chini.Busara ni kitu cha bure.
Na kwa kawaida mtu akiwa mzee, kama alivyi Yusufu Makamba, inategemewa na jamii zote duniani kuwa atakuwa anaongea mambo ya busara na yenye mainyi, yatikanayo na uzoefu mkubwa kimaisha.
Mimi ni mwana CCM, kada, ila sijapenda rap rap ya Makamba.
Maneno ya mzee Yusufu Makamba yanakosa mizania ya busara.
Ati watu wazuri hawafi, ndio maana Kinana yupo na Kikwete yupo!
That is rubbish by all means.
Tunashukuru mama Samia alilisahihisha hilo kabla ya mkutano kumalizika
CCM wajifunze kuwa kuna wazee ndani ya CCM hawana busara ya kutosha, mmoja wai ni Yusufu Makamba, Kapteni mstaafu.
Miaka ya nyuma niliwahi kuandika kuwa CCM inaweza kufa chini ya Ukatibu Mkuu wa Yusufu Makamba.
Kabla ya kuongea na kadamnasi hadharani maneno ya Makamba hayana budi kupimwa mapema.
Fikra zetu zimefanana katika hili.makamba hakuteleza ulimi na mama Samia analijua hilo
Kuongezea maneno “ndio maana Jakaya na Kinana wapo…” ni dhahiri alikusudia pasi na shaka kufikisha ujumbe huo
Anafaa kuwa mpiga porojo tu.Siku nyingi nilishampiga chini.
Mbele ya JK alisema ikifunga mbwa asipobweka utaweka mwenyewe.
Eti Askofu Kweka alimnyima uinyilisti wakati anastahili.
Anatafuta sifa kwa kunukuu mistari ya Biblia huku haamini wala kuitenda.
Siyo kila babu mzee anabusara wengine walikuwa wahuni tu toka ujanani mpaka uzeeni, kubadilisha tabia mtu ni ngumu sana.Busara ni kitu cha bure.
Na kwa kawaida mtu akiwa mzee, kama alivyi Yusufu Makamba, inategemewa na jamii zote duniani kuwa atakuwa anaongea mambo ya busara na yenye mainyi, yatikanayo na uzoefu mkubwa kimaisha.
Mimi ni mwana CCM, kada, ila sijapenda rap rap ya Makamba.
Maneno ya mzee Yusufu Makamba yanakosa mizania ya busara.
Ati watu wazuri hawafi, ndio maana Kinana yupo na Kikwete yupo!
That is rubbish by all means.
Tunashukuru mama Samia alilisahihisha hilo kabla ya mkutano kumalizika
CCM wajifunze kuwa kuna wazee ndani ya CCM hawana busara ya kutosha, mmoja wai ni Yusufu Makamba, Kapteni mstaafu.
Miaka ya nyuma niliwahi kuandika kuwa CCM inaweza kufa chini ya Ukatibu Mkuu wa Yusufu Makamba.
Kabla ya kuongea na kadamnasi hadharani maneno ya Makamba hayana budi kupimwa mapema.
Mwenzako keshatangulia mbele ya haki wewe uko bado tu unabwabwaja pumba zako. Muda wako nao utafika hata ujifanye mjuaji kiasi gani...lakini kauli ya Mzee Makamba ina afadhali ukilinganisha na matusi ambayo Magufuli amewahi kuyatoa ktk mikutano mbalimbali.
Kwa hiyo utampoteza kama Ben Saanane?Tulia kijana hutoamini kitatokea. Mzee amelitafuta asilo lijuwa nilidhani kwa kukaa kwake jeshini anajuwa silence war ila ametoka nje ya mstari.
Pia pamoja na kauli ya rais Samia kumuombea radhi haitoshi,watu mkutanoni wameondoka na donge kadhalika watanzania kwa ujumla wamehudhunika wapo ambao hawawezi samehe kauli hiyo.
Kifupi ujuaji mwingi mbele giza
..lakini kauli ya Mzee Makamba ina afadhali ukilinganisha na matusi ambayo Magufuli amewahi kuyatoa ktk mikutano mbalimbali.
Kweli kachafua brand ya chama,inahitajika juhudi za maksudi kurekebisha kauli ya huyu mzee haraka sana kwa faida ya chama.kidumu chama cha mapinduziBusara ni kitu cha bure.
Na kwa kawaida mtu akiwa mzee, kama alivyi Yusufu Makamba, inategemewa na jamii zote duniani kuwa atakuwa anaongea mambo ya busara na yenye mainyi, yatikanayo na uzoefu mkubwa kimaisha.
Mimi ni mwana CCM, kada, ila sijapenda rap rap ya Makamba.
Maneno ya mzee Yusufu Makamba yanakosa mizania ya busara.
Ati watu wazuri hawafi, ndio maana Kinana yupo na Kikwete yupo!
That is rubbish by all means.
Tunashukuru mama Samia alilisahihisha hilo kabla ya mkutano kumalizika
CCM wajifunze kuwa kuna wazee ndani ya CCM hawana busara ya kutosha, mmoja wai ni Yusufu Makamba, Kapteni mstaafu.
Miaka ya nyuma niliwahi kuandika kuwa CCM inaweza kufa chini ya Ukatibu Mkuu wa Yusufu Makamba.
Kabla ya kuongea na kadamnasi hadharani maneno ya Makamba hayana budi kupimwa mapema.