Matangazo mapenzini

ALIWAZALO MJINGA NDIO LINALOMTOKEA..........kwanini ufikirie kuachana badala ya kufikiria namna ya kudumisha penzi ili liote mizizi............


Na kwa nini nisifikirie wakati ni kitu kinachotokea sana siku hizi? Mwerevu hufikiria plan B
 
loading error.....................................................................loading error
 
Hayo ni matokeo bwana na mtu ukiwa kwenye unakuwa una hope yatalast forever sasa yakitokea yakitokea basi maana nothing last forever
 

Sasa wewe unataka msiachane kwani mmezaliwa tumbo moja?
 
heri yako Preta hebu nifundishe mbinu

He he he.......mi ni jambazi wa moyo........sijawahi kuogopa wala kujutia kuachana na mtu.......hasa nikifikiria natakiwa kuishi kwa burudani sana coz nimepewa nafasi ya kuishi mara moja tu......kupoteza muda mahali pamoja kama hapaelekei siwezi...........
 
Last edited by a moderator:
Shurti nikudandie,nikushike mkono,nikufute mdomo kwa leso yangu,nikutofoe chunusi na kujibebisha!sasa kama una mchepuko wako mtajua wenyewe...
 
Kwahiyo nisi tembee au kumuonyesha mpenzi wangu kwenye hadhara(public) kisa kuogopa kuachana?

Kuachana kupo tu na maumivu Yake ni yaleyale Hata kama utamficha.
Kwenye michepuko, kuonyeshana hadharani hakunaga
 
Ufiche fiche ya nini au unataka siku urudi kwa huyo ex,ila hapo diamond anamkomesha tu wema, ningekua wema ningekufa kwa wivu
 
Hata mimi sielewi watu mpendane halafu mfanye siri kwa kuogopa kwamba mtakuja kubwagana.


Aah wengine mapenzi ya siri hatuyawezi ati...Tukiachana basi, kwani tulizaliwa wote? Kwani sisi ndo wa kwanza kuachana?
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi sielewi watu mpendane halafu mfanye siri kwa kuogopa kwamba mtakuja kubwagana.


Ikishakuwa hivyo then ujue lazima mchepuko unahusika au utahusika
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Ebo! Kizuri fanya hadharani....na kibaya fanya sirini....au Angalia upepo unakoelekea ndo ufanye uamuzi.

Me kila nikiliona humu jina tu la KIM NANA...kirrroooh kinapwita mbaya...nikifollow taswira ya Kim nana mkorea, ktk ile filam yao...du...mpaka basi.

Mzuri wa kila kitu..dura, umbo, tabia na mwenendo in general. Lifestyle yake inanipaisha stim daily.

Kim nana..mkuu, unaweza kuwa na interest na movies za kikorea, za mfumo wa SEASON....Unaweza kuwa doctor wangu tu kwa kunifahamisha matoleo mengne ya movie za kuvutia unazozjua wew, za kikorea za mfumo wa season.

Plz...naomba iyo habari kwa humu kama inafaa...na kama haifai humi basi uni pm...au..uni email. NITAKUSHIKURU SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…