Matangazo ya Cocacola kwenye TV

Wewe acha kujivua nguo
wewe ulikua kichwani kwangu hadi useme sikumaanisha neno lipi nitumie?
unajivua nguo kwa umbumbumbu hapa

Acha kubishana na watumia Tecno....bishana na watu tunaotumia iPhones na Samsung kwa mbali....ukiona mtu anatumia Tecno ujue hayuko serious na maisha....hahahah NAFWAAAAZ u know - Le Mutuz Nation
 
nashauri waanzishe tu COCA COLA TV, au FANTA TV, au SPRITE TV au hata ikiwezekana NOVIDA TV.
 
Hebu nikupe facts kidogo kuhusu kinywaji hicho;
1. Asilimia 96 ya watu duniani huitambua coca cola kama kinywai;
2.Watu 1.8 bilioni hunywa kinywaji hicho kwa siku;
3.Kwenye soko la dunia coca cola 26%, Diet coke 15%
Pepsi 15% Diet pepsi 8%
Kwa kuangalia takwimu hizo tu utaelewa kwa nini jamaa wanaendelea na ubunifu katika marketing.
 
Usifanye Character Assassination Brother.....Be careful!......Hukutakiwa kutaja TECNO yake kwenye hoja yako.
Ttz lake kakosea afu yuko busy anakosoa
Btw me ni Lady🙂
 
Vinywaji vya sukari vimeanza kudoda chi zilizoendelea so lazima watukomalie sisi maana hatujatambua madhara yake bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…