Jim007 2
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 395
- 247
Wewe acha kujivua nguo
wewe ulikua kichwani kwangu hadi useme sikumaanisha neno lipi nitumie?
unajivua nguo kwa umbumbumbu hapa
Acha kubishana na watumia Tecno....bishana na watu tunaotumia iPhones na Samsung kwa mbali....ukiona mtu anatumia Tecno ujue hayuko serious na maisha....hahahah NAFWAAAAZ u know - Le Mutuz Nation